TBT: Jinsi nilivyotumia maburungutu ya pesa ya kigeni isiyo na thamani kuzuzua mabinti

TBT: Jinsi nilivyotumia maburungutu ya pesa ya kigeni isiyo na thamani kuzuzua mabinti

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
1634839136309.png

Leo ni thursday (alhamisi) sio mbaya kukumbushia kidogo mambo kadhaa, tbt throwbak thursaday.

2011 nilikuwa nimemaliza form six nikiwa na miaka 20,

Mitihani tumemaliza mwezi wa pili, vyuo tunaingia october, hapo nina miezi 8 yani.

Warembo napishana nao mtaani, naishia tu kuwapa hi, nimefulia ile mbovu mbaya aisee.

Kiukweli nilikuwa natamani sana warembo, sasa nikaanza kujiuliza hapa ntawezaje, baada ya kutafakari nikaona hakuna ujanja njia rahisi ni pesa.

Nikiwa nina elimu ya somo la uchumi kama mhitimu qa form 6, nikapitia pitia vitabu vya Ambilikile, nikaona kuna sehemu aligusia kwamba nchi ikiwa katika anguko la kiuchumi ama kuprint pesa nyingi basi si ajabu pesa hio kukosa thamani na watu kuanza kununua mikate kwa bilioni, Ni kama kile kilichotokea Zimbabwe watu walikuwa wana noti nyingi ila dukani huwezi nunua hata soda maana pesa haina thamani.

Sasa kuna hawa jamaa huwa wananunua pesa mitaani sana sana za zamani, moja wao alikuwa rafiki yangu, umri alikuwa na 32 hivi, nilimpa elf 14, baada ya wiki akanikabidhi maburungutu matatu ya noti mpya zikiwa ndani ya rambo, Kuna siku nilienxa mjini kufatilia ni za nchi gani ila nilipofika sehemu ya kubadilishia pesa (bureau de change) hawakuitambua, ni aidha ilikuwa ya zamani au ya nchi wasiyoijua

Sasa mchezo wangu ukawa nikikutana na binti kanivutia, namwomba tuongee pembeni, akinipa namba natoa waleti imetuna balaa, naifungu kwa sifa nae aone minoti, alafu nasingizia nina elf 2 tu ya Tanzania, aichukue ya vocha.

Wee!! wee! wee! walikuwa wananipaparikia nikiwapigia au kuwa text acha kabisa, hapo washazuzuka na minoti feki.

Basi hapo ntaingizia vocal zangu kwamba nina mda mchache kukaa huu mkoa na nimempenda na namsifia uwongo kwamba ana akili ya kuanzisha biashara ntamsaidia mtaji milion 2, kashazuzuka hapo.

Aisee!! nlizitafuna sana jamani!!, wengi walinizidi tena wengi walikuwa ni 23, 24 na 25 basi na ule ushamba wangu nikawa najiona nipo juu kisa nmelala na mtu aloenizidi umri

Yani ilikuwa mfukoni ni kubeba mpira na wallet iliyotuna.
 
Umemaliza fm six ila hujui fedha za nchi gani?

Hukuwahi hata kuwaza kwenda kuzibadirisha angalau upate fedha zaidi

Ko hao wadada ulikuwa unawatafunia wap? Gheto ama hata nauli hukuwapa

Najiuliza tu si wajua Tabia zetu wa Tz ujuaji sana kumbe hamna kitu
 
Umemaliza fm six ila hujui fedha za nchi gani?

Hukuwahi hata kuwaza kwenda kuzibadirisha angalau upate fedha zaidi

Ko hao wadada ulikuwa unawatafunia wap? Gheto ama hata nauli hukuwapa

Najiuliza tu si wajua Tabia zetu wa Tz ujuaji sana kumbe hamna kitu
Anajikosha[emoji383][emoji383][emoji383][emoji383]
 
Umemaliza fm six ila hujui fedha za nchi gani?

Hukuwahi hata kuwaza kwenda kuzibadirisha angalau upate fedha zaidi

Ko hao wadada ulikuwa unawatafunia wap? Gheto ama hata nauli hukuwapa

Najiuliza tu si wajua Tabia zetu wa Tz ujuaji sana kumbe hamna kitu
Mkuu wewe ni Great Thinker.. akikujib kwa Ufasaha nitag😂😂
 
Umemaliza fm six ila hujui fedha za nchi gani?

Hukuwahi hata kuwaza kwenda kuzibadirisha angalau upate fedha zaidi

Ko hao wadada ulikuwa unawatafunia wap? Gheto ama hata nauli hukuwapa

Najiuliza tu si wajua Tabia zetu wa Tz ujuaji sana kumbe hamna kitu
Maswali hata hayana msingi wowote
 
Umemaliza fm six ila hujui fedha za nchi gani?

Hukuwahi hata kuwaza kwenda kuzibadirisha angalau upate fedha zaidi

Ko hao wadada ulikuwa unawatafunia wap? Gheto ama hata nauli hukuwapa

Najiuliza tu si wajua Tabia zetu wa Tz ujuaji sana kumbe hamna kitu
Huyu jamaa anatulisha matango pori huyu heti hajui hata ya5ikuwa manoti ya nchi gani hahaaa!
 
Mkuu kuna sehemu nimesema Yana msingi wowote zaidi nimeweka

NB: juu pale labda hujui maana yake, ndo maana uka komenti huu ujinga wako
Ni ID moja mkuu umempiga kisu kimegonga kwenye mfupa...
 
Umemaliza fm six ila hujui fedha za nchi gani?

Hukuwahi hata kuwaza kwenda kuzibadirisha angalau upate fedha zaidi

Ko hao wadada ulikuwa unawatafunia wap? Gheto ama hata nauli hukuwapa

Najiuliza tu si wajua Tabia zetu wa Tz ujuaji sana kumbe hamna kitu
Wewe unaona kabisa hii story imefupishwa alafu unauliza maswali Kama haya.


Wewe ilitakiwa kuomba jamaa aweke nyama nyama kwenye story yake
 
Umemaliza fm six ila hujui fedha za nchi gani?
Mkuu usidhani 2011 ni sawa na 2021, siku hizi karibu vitu vingi waweza pata jibunlake kupitia internet, Enzi hizo kupata tu huduma ya net ilibidi uende mjini na uwe mtaalam kidogo wa kutumia computer, alieniuzia aliniambia itakuwa ya china ila sikuona herufi za kichina yoyote

Hukuwahi hata kuwaza kwenda kuzibadirisha angalau upate fedha zaidi
Huko nilishaendaga, sehemu hizo wanaziita Bureau de Change, ilikuwepo moja tu ninayoijua enzi hizo mkoa naoishi, usifikiri kila pesa wanabadilisha, kuna ubao huwa wanaandika fedha wanazobadili mfano dollar, euro, pound na nchi za majirani kama kenya, uganda, zambia, n.k. niliwapelekea ila jitihada ziligonga mwamba.

Ko hao wadada ulikuwa unawatafunia wap? Gheto ama hata nauli hukuwapa
Sikuwa na ghetto ila nilikuwa na connections zangu za kunipa masaa kadhaa kufanya yangu kwa uhuru, bila connections mambo mengi utasota, Enzi hizo nina connection ya kupata hata gari ya kupigia misele kama nina elf 5 ya kujazia mafuta na hapo sikuwa hata na leseni.

Tatizo la Watanzania mna ile hali ya wivu 😂😂 halafu wivu wenyewe ni kwenye mambo ya kitoto huko enzi tunaingia 20s. Naona weqe enzi hizo bado mchumba wako alikuwa sabuni na kiganja 😂😂
 
Back
Top Bottom