Hii haujaitolea maelezo mazuri.Karuka tena karuka,Kachoka mpaka mkia..View attachment 1187335
Na zilizoisha humo humo.[emoji23][emoji23][emoji23]Yule mwizi wa pen niko hapa compas langu lilijaa pen za kila aina.
Ili kupoteza ushahidi nazikwangua na wembe. [emoji23]
Sadiki na Chitemo.
Aisee [emoji23], kumbe wakina Mwaju usaliti wameanza zamani eehIla haya maisha bhana siji sahau mwajuma alivyonisaliti kwa maandazi manne ya hasani daah mwajuma wangu uko wapi mama
Dah broh 😂Niliibiwa kisalfeti changu kilichojaa daftar za shule.. ili home wasijue nilikua naingia kininja natoka kininja. Nilikaa kama wiki mbili siandiki ila naenda shule kuiba daftar tu! Nilimilisha zimefika daftar 20 mpya... daftar zikimwaga kutoka kusahushwa nami najichanganya
Zamani sana aisee 😀😄😅😅Aisee [emoji23], kumbe wakina Mwaju usaliti wameanza zamani eeh
Hii haujaitolea maelezo mazuri.
Wanaume baada ya kukosa mnachokitaka huwa mnakikashifu kwa kujidai "sizitaki mbichi hizi"[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Naona umeamua kunipiga dongo.Hahaa utasikia simtak kwanza Ana miguu imepinda, anatembea anataka kuangukia mbele
Shuleni tulikuwa tunashindana wizi wa vitu. Yaani ilitakiwa utumie akili uingie darasa lingine uibe na urudi na kitu darasa kwenu uoneshe wenzako kuwa umeiba darasa fulani.N
Nmeiba snaa pen aisee
Enzi hizo tunatumia vioo kuchungulia chupi za kina aisha
Simulizi za EsopoSiku elfu mojaView attachment 1187373
Hahahaha, wewe kiboko.Siku elfu mojaView attachment 1187373