TBT: Mwaka 1985 Scotland Yard walikuja Tanzania kuchunguza BOT na 1990 walikuja Kenya kifo cha Waziri Dr Robert Ouko

Vipi MO dewji, Lissu, Roma, N.k.
 
Asante kwa kuchangia mada.

Kuhusu polisi wetu kuanza uchunguzi je hili ni tukio kwanza? Si la jana wala leo wala mwaka jana wala mwaka juzi.

Tukubali tusaidiwe na pia tupate uzoefu kwa wenzetu
Tanzania iko vizuri kwa taarifa yako inaaminiwa kimataifa kwenye upelelezi

Aliyelipua ubalozi wa marekani Tanzania vyombo vyote vya kimataifa vya upelelezi vilishindwa kumpata .Tanzania ndio walifanikuwa kumdaka nje ya nchi na kuwakabidhi marekani
 
Tanzania iko vizuri kwa taarifa yako inaaminiwa kimataifa kwenye upelelezi

Aliyelipua ubalozi wa marekani Tanzania vyombo vyote vya kimataifa vya upelelezi vilishindwa kumpata .Tanzania ndio walifanikuwa kumdaka nje ya nchi na kuwakabidhi marekani
Aliyelipua Imma Advocates je?
 
Vipi MO dewji, Lissu, Roma, N.k.
Wengine hapo walikataa kutoa ushirikiano na polisi kuwa hawataki polisi wa Tanzania washughulikie ulitakaje sasa? Mfano Lisu aliambiwa apeleke Dereva wake ahojiwe akagoma kumpeleka polisi

Sasa mtu hataki kutoa ushirikiano na polisi ,polisi wafanyaje wao kwa utaalamu wao wanasema tunamtaka huyu aje asaidie upelelezi mtu hataki
 
Hahaa sawa.
 
Watekaji wetu ni hodari sana, sizani kama jamaa watamaliza kazi yao kabla na wao awajatekwa.
 
Mkuu; Mimi Quotation yangu ya moto ni kuhusu BOT kama ulivyoandika. Ndio nikaulzia ripoti ya Scotlandyard. Hebu ipitie vzuri halafu nasubiri jibu
Okay sawa.....baadhi ya vyanzo vya habari zilivyozungumzia swala hilo ikiwemo Global Publishers wanasema Baada ya uchunguzi huo Repoti ya Scotland yard haikuwekwa wazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…