TBT: Unadhani vijana wa zamani walikua pamba kali kuliko sasa?

TBT: Unadhani vijana wa zamani walikua pamba kali kuliko sasa?

Dr am 4 real PhD

JF-Expert Member
Joined
Jun 30, 2016
Posts
11,640
Reaction score
24,066
images (1)_1.jpeg


Hivi ni kwa nini baadhi ya vijana hupenda kuvaa mlegezo?

images (2).jpeg
 
Majibu sahihi ya swali lako yanaweza kupatikana huko Facebook maana huko ndo Kuna vijana wenye umri unaoendana na swali lako.
 
Majibu sahihi ya swali lako yanaweza kupatikana huko Facebook maana huko ndo Kuna vijana wenye umri unaoendana na swali lako.
Umefanya tafit mkuu ..wakat asilimia 90% ya participating hapa ni vijana....
 
Sizan kama waheshimiwa wakiwa busy Huwa wanapata muda wa kupambania watu wa chini......
 
Back
Top Bottom