makedonia
JF-Expert Member
- Nov 17, 2014
- 4,171
- 3,461
MAKOBAZI SPORTS CLUB.View attachment 3120965
#MnyamaTBT | 🦁🦁
Aliyekuwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Sheikh Abeid Amani Karume akitoa hotuba katika ufunguzi wa jengo la Simba lilipo mtaa wa Msimbazi, Kariakoo Julai 1, 1971.
Kulia kwake ni aliyekuwa Waziri Mkuu, Rashidi Mfaume Kawawa na kushoto kwake ni Mstahiki Meya wa Jiji la Dar Es Salaam na Mwenyekiti wa Simba, Ramadhani Omar Kirundi.
Siku hiyo rasmi ndio tulianza kutumia jina la Simba Sports Club kutoka Sunderland.