Sewando MP
Member
- Jan 25, 2014
- 56
- 116
Ndio Kiongozi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Huyo ndiyo wewe mkuu?
Khaaaaaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Labda kwa sababu ni tbt kwa unavyolembua macho hupaswi kujiita mbabe,
Fananisha na Mimi wa Sasa hivi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tbt Iko wapi sasa hapo
Hii mti safiTher is a Race, I must Run
Ther is a Victory to be Won
Give me Power, Every hour
To be true, Ooh Lord
#11YearsOfVictory
#19thNevember2011
View attachment 2420685
Hapo bro umebadili mavazi tu na Camera kali basi sioni TBT.Fananisha na Mimi wa Sasa hivi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2420743
NakubaliHii mti safi
Khaaaaaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1487][emoji1487][emoji1487][emoji1487]. Basi sawaHapo bro umebadili mavazi tu na Camera kali basi sioni TBT.
Hako kajengo cha wazee wa kobazi bado kapoNakubali
Hakapo tena Mkuu. Sasa maeneo yote hapo imekuwa garage.Hako kajengo cha wazee wa kobazi bado kapo
Asante sanaKila la kheri...
Kweli kabisa.Watanzania huanza kwanza kuzeeka halafu baadaye ndio wanakuwa vijana.
Nyieeeeee [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Watanzania huanza kwanza kuzeeka halafu baadaye ndio wanakuwa vijana.
Tena sanaaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Bites Bites hivi, Vinywaji Hahaa [emoji23][emoji38][emoji23][emoji38]Sahivi unapata milo mitatu safi kabisa.