Pamoja sana. Hayo ndio mapambano. Usiwasahau wazazi, ndugu, na waliokunyanyua ufike hapo. Ukiweza na ww wanyanyue wengine wote tufike mahala flani.Tena sanaaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Bites Bites hivi, Vinywaji Hahaa [emoji23][emoji38][emoji23][emoji38]
kaka sewando umewafunga watu mdomo.walipanga kuku bully. safi sana.Fananisha na Mimi wa Sasa hivi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2420743
wivu wa kike.Hapo bro umebadili mavazi tu na Camera kali basi sioni TBT.
We mtoto wa kike unaingiliaje mambo ya wanaume.wivu wa kike.
Mkuu naona umekula dundo la nikeFananisha na Mimi wa Sasa hivi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2420743
Ama kweli Ile ni TBTFananisha na Mimi wa Sasa hivi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2420743
Nakubali Kiongozi. Na hilo ndo ombi langu siku zote, na Mungu anisaidie. Asante sanaPamoja sana. Hayo ndio mapambano. Usiwasahau wazazi, ndugu, na waliokunyanyua ufike hapo. Ukiweza na ww wanyanyue wengine wote tufike mahala flani.
Asante sanaAma kweli Ile ni TBT
Mara moja moja [emoji23][emoji23][emoji23], ila uwe na uhakika huna nongwa na Wakuu walioko huko Juu Hahaa [emoji1787][emoji1787][emoji23]Kumbe kuna wajuba wanaweka picha zao jamiiforum
[emoji853][emoji853]
Hatari sana hahaha [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mkuu naona umekula dundo la nike
Asanteeeeee [emoji23][emoji23][emoji23]kaka sewando umewafunga watu mdomo.walipanga kuku bully. safi sana.
Khaaaaaa, Nyieeeeee hahahaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787] iKama kagere mzee
Yeah, Na limekaa mahala pakeMkuu naona umekula dundo la nike
Hatari sana Hahaa [emoji23][emoji23][emoji1544]Huu ndo uhalisia wa maisha ya watu wa Jf ila nyuma ya keyboard wanajidai wajanja sana na wanamiliki mali za kifahari
[emoji123]Fananisha na Mimi wa Sasa hivi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2420743
Haya ndo mabadiliko mkuu hongera japo unaonekana umefight sana sura kama vile ina ngeu ngeuFananisha na Mimi wa Sasa hivi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2420743
Yaan ametumia ufundi sana kwenye kuweka picha, tuna wivu sana sisi hatupendi wenzetu wawe vizuri.kaka sewando umewafunga watu mdomo.walipanga kuku bully. safi sana.