vibesen xxx
JF-Expert Member
- Jul 23, 2022
- 3,187
- 6,620
Asanteeee sana Mkuu. Yamekuwa ni mapambano makali sana, haielezeki Mzee hahaaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Haya ndo mabadiliko mkuu hongera japo unaonekana umefight sana sura kama vile ina ngeu ngeu
Asante sana MkuuYaan ametumia ufundi sana kwenye kuweka picha, tuna wivu sana sisi hatupendi wenzetu wawe vizuri.
Yaani tungemkejeli balaa...
Thank YouuuuPositive vibration
Ther is a Race, I must Run
Ther is a Victory to be Won
Give me Power, Every hour
To be true, Ooh Lord
#11YearsOfVictory
#19thNevember2011
View attachment 2420685
Hii nayo ya KIBABE sana Mkuu. Nakubali [emoji1544][emoji1487]
Fundi alieshona suruali yako Mungu amsamehe... Ana dhambi Sana hy mtu.Ther is a Race, I must Run
Ther is a Victory to be Won
Give me Power, Every hour
To be true, Ooh Lord
#11YearsOfVictory
#19thNevember2011
View attachment 2420685
Khaaaaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Enzi hizo hiyo ndo ilikuwa fashion [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Fundi alieshona suruali yako Mungu amsamehe... Ana dhambi Sana hy mtu.
Pesa mkuu mwanzo unaonekana kama mzee😂😂😂Fananisha na Mimi wa Sasa hivi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2420743
Au sio hahahaaaPesa mkuu mwanzo unaonekana kama mzee😂😂😂
huna akili.We mtoto wa kike unaingiliaje mambo ya wanaume.
baadhi ya watanzania wana roho mbaya sana.Yaan ametumia ufundi sana kwenye kuweka picha, tuna wivu sana sisi hatupendi wenzetu wawe vizuri.
Yaani tungemkejeli balaa...
Wacha tuchukuliane na kila mtu. Tunajifunza pia kupitia wao.baadhi ya watanzania wana roho mbaya sana.
kuna watu walianza kuandika comment za kumfanyia dhihaka kupitia ile picha yake ya kwanza ya tbt.
halafu wamekuja kukasirika na kununa baada ya jamaa kupost picha yake ya sasa.
Lengo la post limeshajulikanaFananisha na Mimi wa Sasa hivi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2420743
Aaah! Mpoki na Jotti.Watanzania huanza kwanza kuzeeka halafu baadaye ndio wanakuwa vijana.
Hehe kawapiga na kitu kizitokaka sewando umewafunga watu mdomo.walipanga kuku bully. safi sana.
Wapi hapa mkuuThere is a Race, I must Run
There is a Victory to be Won
Give me Power, Every hour
To be true, Ooh Lord
#11YearsOfVictory
#19thNevember2011
View attachment 2420685
Ha haaaaaaa hahahaha haaaaaaa hahahaha haaaaaaa haaaaaaaaaaaThere is a Race, I must Run
There is a Victory to be Won
Give me Power, Every hour
To be true, Ooh Lord
#11YearsOfVictory
#19thNevember2011
View attachment 2420685
karibu mjini ndg yangu.
wenye roho mbaya walishajipanga kumsagia kunguni....kawapiga na kitu kizito mno....wamepoteana.[emoji1787]Hehe kawapiga na kitu kizito
Ova