TBT ya Kiboko ya Wachawi, Mzee wa Laki Tano-Tano

TBT ya Kiboko ya Wachawi, Mzee wa Laki Tano-Tano

Kama utakua ume notice, haikupita muda mrefu to Lawrence Masha atimbe kwa kiboko ya wachawi, serikali ikamfurumusha huyo bwana.. Huwa najiuliza sana ,was it a coisedence??? Yan kitendo cha Masha kuingia tu oale kanisani na ile video yake kuanza ku trend, Serikali ukaingilia kati.. laZima kuna kitu
Kiboko walikuwa wanamchunguza mda, ili isije onekana wamemuonea.. badae.. hadi wanamfukuza wameish pata taarifa zote tena kwa undani kabisa.. include msukuma alikuwa kwenye hiyo team
 
Jamaa ana akili
Kuletewa laki 5 sio mchezo
Jaribu uone kama rahisi
 
Back
Top Bottom