Kama utakua ume notice, haikupita muda mrefu to Lawrence Masha atimbe kwa kiboko ya wachawi, serikali ikamfurumusha huyo bwana.. Huwa najiuliza sana ,was it a coisedence??? Yan kitendo cha Masha kuingia tu oale kanisani na ile video yake kuanza ku trend, Serikali ukaingilia kati.. laZima kuna kitu