Tbway360 acha dharau young killer ni msanii mkubwa tu

Tbway360 acha dharau young killer ni msanii mkubwa tu

Wasanii Njaa, Misukule. Kujikomba Komba.

Leo Kwa Magu, Kesho CCM, Kesho Kutwa Kwa Bashite, Mara Kwa Domo.

Lazima Udharaurike Kwa Unafiki.
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Ukitoa Hilo la young killer..tbwan namwonaga anadharau Sana hata kwa wasanii underground huwa anawacrash muda wote wanapoongea
 
Ukitoa Hilo la young killer..tbwan namwonaga anadharau Sana hata kwa wasanii underground huwa anawacrash muda wote wanapoongea
Kwanza hizo ni inferiority xomplex uliyojijengea.....huwezimkubali mtu akushushe kama hujampa nafasi.pili lazima tujifunze kuheshim taratibu..we unaitwa kwe interview unakaa bar na kujichelewesha kujiona superstar bia zikiisha ndo unaanza chomoka unategemea nn tatu namkubalimsogo tbway he is a husle na anapambana on his own league mwisho ndo maana wasanii wakubwa watabakinkua wakubwa am sure mwanafa, profesa j, sugu, diamond, alikiba pamoja na jina lao always huwezi sikia ushenzimkama huumkwakua washajua umuhim wa mda na kuheshim ofisi za watu next time umeitwa interview ya kazi saa 2 asubub nenda saa 4 halafu njoo ulete mrejesho..na kwakufuata maneno ya mzee wetu....WATANZANIA TUFANYE KAAZI...MI MWENYEWE RAISI SINA PESA KAMA HUTAKI KAZI KUBALI KUOLEWA"-Alisikika mkuu wa nchi
 
Kwanza hizo ni inferiority xomplex uliyojijengea.....huwezimkubali mtu akushushe kama hujampa nafasi.pili lazima tujifunze kuheshim taratibu..we unaitwa kwe interview unakaa bar na kujichelewesha kujiona superstar bia zikiisha ndo unaanza chomoka unategemea nn tatu namkubalimsogo tbway he is a husle na anapambana on his own league mwisho ndo maana wasanii wakubwa watabakinkua wakubwa am sure mwanafa, profesa j, sugu, diamond, alikiba pamoja na jina lao always huwezi sikia ushenzimkama huumkwakua washajua umuhim wa mda na kuheshim ofisi za watu next time umeitwa interview ya kazi saa 2 asubub nenda saa 4 halafu njoo ulete mrejesho..na kwakufuata maneno ya mzee wetu....WATANZANIA TUFANYE KAAZI...MI WMENYEWE RAISIMSINA PESAKAMA HUTAKI KAZI KUBALI KUOLEWA
Kumbe dogo alichelewa? Mi nilidhani dogo alikuja mapema but all in all atakuwa kazingua dogo killer SEMA tbway dharau anazo
 
Kwanza hizo ni inferiority xomplex uliyojijengea.....huwezimkubali mtu akushushe kama hujampa nafasi.pili lazima tujifunze kuheshim taratibu..we unaitwa kwe interview unakaa bar na kujichelewesha kujiona superstar bia zikiisha ndo unaanza chomoka unategemea nn tatu namkubalimsogo tbway he is a husle na anapambana on his own league mwisho ndo maana wasanii wakubwa watabakinkua wakubwa am sure mwanafa, profesa j, sugu, diamond, alikiba pamoja na jina lao always huwezi sikia ushenzimkama huumkwakua washajua umuhim wa mda na kuheshim ofisi za watu next time umeitwa interview ya kazi saa 2 asubub nenda saa 4 halafu njoo ulete mrejesho..na kwakufuata maneno ya mzee wetu....WATANZANIA TUFANYE KAAZI...MI WMENYEWE RAISIMSINA PESAKAMA HUTAKI KAZI KUBALI KUOLEWA
tehehehe imebidi nicheke kwanza. Nini kimekusibu?
 
Huyo dogo young killer si juzi kati tu alikua kwenye hicho kipindi na akawa anazozana na young dee live? .akawa analazimisha battle ya live na dee?? . hiyo ndio shida ya kung' ang' ania na kulazimisha kuitwa ktk vipindi wakati.huhitajiki.. hata hiyo siku inaonekana hakuhitajika sema alilazimisha ili akutane na young dee wapambanishwe.. dogo atafute sehemu nyingine ya kutokea aachane na hizo shobo za kishamba ataendelea kudhalilishwa tu
. ..
 
Kwanza hizo ni inferiority xomplex uliyojijengea.....huwezimkubali mtu akushushe kama hujampa nafasi.pili lazima tujifunze kuheshim taratibu..we unaitwa kwe interview unakaa bar na kujichelewesha kujiona superstar bia zikiisha ndo unaanza chomoka unategemea nn tatu namkubalimsogo tbway he is a husle na anapambana on his own league mwisho ndo maana wasanii wakubwa watabakinkua wakubwa am sure mwanafa, profesa j, sugu, diamond, alikiba pamoja na jina lao always huwezi sikia ushenzimkama huumkwakua washajua umuhim wa mda na kuheshim ofisi za watu next time umeitwa interview ya kazi saa 2 asubub nenda saa 4 halafu njoo ulete mrejesho..na kwakufuata maneno ya mzee wetu....WATANZANIA TUFANYE KAAZI...MI WMENYEWE RAISIMSINA PESAKAMA HUTAKI KAZI KUBALI KUOLEWA

Mkuu kuna 'M' fulani zinajitokeza kwenye uandishi wako yanasomekaje hayo maneno au uko tusu nini chief?
 
Kwanza hizo ni inferiority xomplex uliyojijengea.....huwezimkubali mtu akushushe kama hujampa nafasi.pili lazima tujifunze kuheshim taratibu..we unaitwa kwe interview unakaa bar na kujichelewesha kujiona superstar bia zikiisha ndo unaanza chomoka unategemea nn tatu namkubalimsogo tbway he is a husle na anapambana on his own league mwisho ndo maana wasanii wakubwa watabakinkua wakubwa am sure mwanafa, profesa j, sugu, diamond, alikiba pamoja na jina lao always huwezi sikia ushenzimkama huumkwakua washajua umuhim wa mda na kuheshim ofisi za watu next time umeitwa interview ya kazi saa 2 asubub nenda saa 4 halafu njoo ulete mrejesho..na kwakufuata maneno ya mzee wetu....WATANZANIA TUFANYE KAAZI...MI WMENYEWE RAISIMSINA PESAKAMA HUTAKI KAZI KUBALI KUOLEWA
Hujajibu nilichoandika umejibu unachokijua wewe
 
Tbway ndo nan uyo au mm tu nimeanza kuzeeka
 
Young Killer huyo dogo ni fala sana toka kitambo.
 
Huyo tbway ana dharau kinoma halafu akampa mic ney wa mitego ndo amuhoji ikafika steji dogo akamuambia nihoji ww unampaje ney mic anihoji mm
Me ningekuwa msodoki ningesepa zangu, hawa watangazaji waache dharau
 
Ukitoa Hilo la young killer..tbwan namwonaga anadharau Sana hata kwa wasanii underground huwa anawacrash muda wote wanapoongea
Simpendi kiukweli huyu kijana, anaudhi xana
 
Back
Top Bottom