kuna msululu wa wa wafanyakazi ambao wameacha kazi katika idara hiyo nyeti nchini, wafanyakazi hao ni kutoka katika kada mbalimbali, wengi wameshaondoka na wengine wengi wanahangaika kutafuta kazi sehemu zingine kwa speed ili waondoke.
kama mnakumbuka tcaa ilikuwa inakimbiliwa na watu wengi walikuwa wanatamani japo bahati hiyo ya kufanyakazi tcaa waipate, sasa kilichoisibu mamlaka hiyo hadi kukimbiwa mfano wa kinyesi na wafanyakazi kada zote ni nini? Utaona kila mwezi kuna nafasi ya kazi tcaa, ukiangalia sio nafasi mpya bali ni mtu kaondoka. kazi kwenu, mungu ibariki jf
kama mnakumbuka tcaa ilikuwa inakimbiliwa na watu wengi walikuwa wanatamani japo bahati hiyo ya kufanyakazi tcaa waipate, sasa kilichoisibu mamlaka hiyo hadi kukimbiwa mfano wa kinyesi na wafanyakazi kada zote ni nini? Utaona kila mwezi kuna nafasi ya kazi tcaa, ukiangalia sio nafasi mpya bali ni mtu kaondoka. kazi kwenu, mungu ibariki jf