TCRA, biashara ya ngono inashamiri mitandaoni hamuoni au mmeuchuna tu?

TCRA, biashara ya ngono inashamiri mitandaoni hamuoni au mmeuchuna tu?

Huko kuna utapeli mwingi, Mtu akijichanganya anapigwa na kitu kizito.

Kwa hiyo hapa si suala la kujiuza tu na swala la Watu kutapeliwa.
Aisee hii kitu ni mbaya sana maana ukijichanganya ukahisi unaenda kukutana na mwanamke ukatuma hela ujue imeisha hiyo.

Unaambiwa kuna wadau (Wanaume) wamekaa home wanatengeneza Account wanajiita labda Utamu wa Pwani halafu anacomment kama mwanamke anayetafuta mpenzi anaweka na namba yake.

Ukijichanganya umtafute atataka umtumie hela, ukituma tu unakulablock ndo inakuwa imeisha hiyo
 
Uchi ni mali Binafsi ya mtu,serikali haiwezi kufuatilia jambo hilo kwani halina athari kwa sababu hadi ununue basi mmeelewana huko inbox
Matako tu ndio mali ya Serikali hapa Tz ndio mana wale wanaotoa Ndogo huwa wanashitakiwa
 
Uchi ni mali Binafsi ya mtu,serikali haiwezi kufuatilia jambo hilo kwani halina athari kwa sababu hadi ununue basi mmeelewana huko inbox
Matako tu ndio mali ya Serikali hapa Tz ndio mana wale wanaotoa Ndogo huwa wanashitakiwa
Hhahah daaah Mkuu mbona Malaya wanakamatwa na kudhibitiwa sasa?
 
Hhahah daaah Mkuu mbona Malaya wanakamatwa na kudhibitiwa sasa?
Ni mara chache sana Mkuu,ukiona wwmekamatwq basi waligoma kutoa pesa, sidhani hata adhabu yao kama inafikaga miezi sita jera
 
Mi ninavyojua wanunua ngono hatujakukosea kitu. Kama nguvu za kiume ni zetu na wewe una zako pia (that is, if you have them)
 
Salaam wakuu, natumai nyote mpo salama

Ndugu zangu kijana wenu nimekuwa mtumiaji wa mitandao mbalimbali ya kijamii ikiwamo Telegram, Instagram, Twitter na mingineyo.

Kama utakukubaliana na Mimi ukipita kwenye mitandao hii Kuna kiwango kikubwa Cha biashara ya ngono (umalaya) inayohusisha watu kutangaza kujiuza au madalali wanaojinasibu kuuza wengine kingono.

Miaka mitano nyuma biashara hii ilikuwa kwa kiwango cha chini lakini kwa sasa imezidi kuwa tishio. Ukipita kwenye comments za page za habari, viongozi au watu maarufu utakutana na watu wakijinasibu kuwa na hamu ya kufanya mapenzi huku wakiweka namba zao kusisitiza watafutwe ili watoe huduma.

Zaidi ya hayo, biashara hii ya ngono mtandaoni imepiga hatua za kuvunja kabisa maadili ya Watanzania kwa kutangaza biashara za ushoga na kusagana wazi wazi.

Nawaangushia zigo hili TCRA kwa sababu watu wanafanya biashara hizi wanaweka namba zao wazi kabisa mitandaoni.

Nachojiuliza hapa ni kwamba je Mamlaka ya usimamizi na udhibiti wa Mitandao (TCRA) hawaoni haya?

Kama wanaona wanafanya jitihada gani kudhibiti biashara hizi hasa ukizingatia watu wanaweka mawasiliano yao na wao Wana Mamlaka ya kudhibiti.

TCRA msijifanye hamuoni, msichague vitu vya kudhibiti. Biashara hizi zinaathari kubwa sana kwa sababu mitandao kwa sasa inatumiwa na watoto, Vijana na wazee.

Tafadhali chukueni hatua.
Wako bize na Chadema kwanza
 
Ubongo wako unakosa akili kiasi gani mpaka uanze kufatilia mtu liyecomment "LEO NATOA OFA NYUMA NA MBELE KWA KUMI WA MWANZO". au "LEO NINA HAMU NA NINI SIJUI"

Hadi hili mnataka serikali ikataze kweli?? Pesa ya kwako kanunue hao viumbe kwa raha zako usitake serikali ikukataze.
 
Salaam wakuu, natumai nyote mpo salama

Ndugu zangu kijana wenu nimekuwa mtumiaji wa mitandao mbalimbali ya kijamii ikiwamo Telegram, Instagram, Twitter na mingineyo.

Kama utakukubaliana na Mimi ukipita kwenye mitandao hii Kuna kiwango kikubwa Cha biashara ya ngono (umalaya) inayohusisha watu kutangaza kujiuza au madalali wanaojinasibu kuuza wengine kingono.

Miaka mitano nyuma biashara hii ilikuwa kwa kiwango cha chini lakini kwa sasa imezidi kuwa tishio. Ukipita kwenye comments za page za habari, viongozi au watu maarufu utakutana na watu wakijinasibu kuwa na hamu ya kufanya mapenzi huku wakiweka namba zao kusisitiza watafutwe ili watoe huduma.

Zaidi ya hayo, biashara hii ya ngono mtandaoni imepiga hatua za kuvunja kabisa maadili ya Watanzania kwa kutangaza biashara za ushoga na kusagana wazi wazi.

Nawaangushia zigo hili TCRA kwa sababu watu wanafanya biashara hizi wanaweka namba zao wazi kabisa mitandaoni.

Nachojiuliza hapa ni kwamba je Mamlaka ya usimamizi na udhibiti wa Mitandao (TCRA) hawaoni haya?

Kama wanaona wanafanya jitihada gani kudhibiti biashara hizi hasa ukizingatia watu wanaweka mawasiliano yao na wao Wana Mamlaka ya kudhibiti.

TCRA msijifanye hamuoni, msichague vitu vya kudhibiti. Biashara hizi zinaathari kubwa sana kwa sababu mitandao kwa sasa inatumiwa na watoto, Vijana na wazee.

Tafadhali chukueni hatua.
Mtu anauza mwili wake wewe kinakuwasha nini?
Muwaache wapumuwe.
 
Ubongo wako unakosa akili kiasi gani mpaka uanze kufatilia mtu liyecomment "LEO NATOA OFA NYUMA NA MBELE KWA KUMI WA MWANZO". au "LEO NINA HAMU NA NINI SIJUI"

Hadi hili mnataka serikali ikataze kweli?? Pesa ya kwako kanunue hao viumbe kwa raha zako usitake serikali ikukataze.
Naheshimu mawazo yako Mkuu. Asante kwa maoni yako yapo sahihi. Lengo langu ilikuwa kuzikumbusha mamlaka kutimiza wajibu wao ili kudhibiti kushamiri kwa ngono mitandaoni. Biashara hizi zinaathiri na kugusa maisha, afya na saikolojia ya watu.

Natumai wale walioona hatari ya jambo hili wameelewa.
 
Salaam wakuu, natumai nyote mpo salama

Ndugu zangu kijana wenu nimekuwa mtumiaji wa mitandao mbalimbali ya kijamii ikiwamo Telegram, Instagram, Twitter na mingineyo.

Kama utakukubaliana na Mimi ukipita kwenye mitandao hii Kuna kiwango kikubwa Cha biashara ya ngono (umalaya) inayohusisha watu kutangaza kujiuza au madalali wanaojinasibu kuuza wengine kingono.

Miaka mitano nyuma biashara hii ilikuwa kwa kiwango cha chini lakini kwa sasa imezidi kuwa tishio. Ukipita kwenye comments za page za habari, viongozi au watu maarufu utakutana na watu wakijinasibu kuwa na hamu ya kufanya mapenzi huku wakiweka namba zao kusisitiza watafutwe ili watoe huduma.

Zaidi ya hayo, biashara hii ya ngono mtandaoni imepiga hatua za kuvunja kabisa maadili ya Watanzania kwa kutangaza biashara za ushoga na kusagana wazi wazi.

Nawaangushia zigo hili TCRA kwa sababu watu wanafanya biashara hizi wanaweka namba zao wazi kabisa mitandaoni.

Nachojiuliza hapa ni kwamba je Mamlaka ya usimamizi na udhibiti wa Mitandao (TCRA) hawaoni haya?

Kama wanaona wanafanya jitihada gani kudhibiti biashara hizi hasa ukizingatia watu wanaweka mawasiliano yao na wao Wana Mamlaka ya kudhibiti.

TCRA msijifanye hamuoni, msichague vitu vya kudhibiti. Biashara hizi zinaathari kubwa sana kwa sababu mitandao kwa sasa inatumiwa na watoto, Vijana na wazee.

Tafadhali chukueni hatua.
Ushawahi kusikia TCRA wamefanikisha kukamatwa hata tapeli mmoja? zaidi huwakama wanatukana wanasiasa tu, matapeli wanaweka hadi namba za simu na hawakamatwi
 
wao wenyewe ni wateja. dawa ni mtu binafsi kujicontrol kwa kuokoka na kuikimbia dhambi. ila dunia imeharibika zaidi ya hivyo ujuavyo.
 
Sijaelewa hoja ya mleta mada . Kwamba anachukia umala au anachukia umalaya kufanyika waziwazi twita instagram na telegram?. Kwamba umalaya usipofanyoka mtandaoni hakuna shida?
 
Salaam wakuu, natumai nyote mpo salama

Ndugu zangu kijana wenu nimekuwa mtumiaji wa mitandao mbalimbali ya kijamii ikiwamo Telegram, Instagram, Twitter na mingineyo...
Una uhakika gani unaoshitaki kwao hawawezi kuwa wao na kama nao ni wao wanawezaje kukuelewa ili hali nao ni wao.
 
Back
Top Bottom