Aisee hii kitu ni mbaya sana maana ukijichanganya ukahisi unaenda kukutana na mwanamke ukatuma hela ujue imeisha hiyo.Huko kuna utapeli mwingi, Mtu akijichanganya anapigwa na kitu kizito.
Kwa hiyo hapa si suala la kujiuza tu na swala la Watu kutapeliwa.
Hhahah daaah Mkuu mbona Malaya wanakamatwa na kudhibitiwa sasa?Uchi ni mali Binafsi ya mtu,serikali haiwezi kufuatilia jambo hilo kwani halina athari kwa sababu hadi ununue basi mmeelewana huko inbox
Matako tu ndio mali ya Serikali hapa Tz ndio mana wale wanaotoa Ndogo huwa wanashitakiwa
Ni mara chache sana Mkuu,ukiona wwmekamatwq basi waligoma kutoa pesa, sidhani hata adhabu yao kama inafikaga miezi sita jeraHhahah daaah Mkuu mbona Malaya wanakamatwa na kudhibitiwa sasa?
Wako bize na Chadema kwanzaSalaam wakuu, natumai nyote mpo salama
Ndugu zangu kijana wenu nimekuwa mtumiaji wa mitandao mbalimbali ya kijamii ikiwamo Telegram, Instagram, Twitter na mingineyo.
Kama utakukubaliana na Mimi ukipita kwenye mitandao hii Kuna kiwango kikubwa Cha biashara ya ngono (umalaya) inayohusisha watu kutangaza kujiuza au madalali wanaojinasibu kuuza wengine kingono.
Miaka mitano nyuma biashara hii ilikuwa kwa kiwango cha chini lakini kwa sasa imezidi kuwa tishio. Ukipita kwenye comments za page za habari, viongozi au watu maarufu utakutana na watu wakijinasibu kuwa na hamu ya kufanya mapenzi huku wakiweka namba zao kusisitiza watafutwe ili watoe huduma.
Zaidi ya hayo, biashara hii ya ngono mtandaoni imepiga hatua za kuvunja kabisa maadili ya Watanzania kwa kutangaza biashara za ushoga na kusagana wazi wazi.
Nawaangushia zigo hili TCRA kwa sababu watu wanafanya biashara hizi wanaweka namba zao wazi kabisa mitandaoni.
Nachojiuliza hapa ni kwamba je Mamlaka ya usimamizi na udhibiti wa Mitandao (TCRA) hawaoni haya?
Kama wanaona wanafanya jitihada gani kudhibiti biashara hizi hasa ukizingatia watu wanaweka mawasiliano yao na wao Wana Mamlaka ya kudhibiti.
TCRA msijifanye hamuoni, msichague vitu vya kudhibiti. Biashara hizi zinaathari kubwa sana kwa sababu mitandao kwa sasa inatumiwa na watoto, Vijana na wazee.
Tafadhali chukueni hatua.
Kuna Duwani juzi tu alitekwa na hao hao kule Tabata hamkusikia?CCM ni wateja wazuri sn wa hii mambo
Mtu anauza mwili wake wewe kinakuwasha nini?Salaam wakuu, natumai nyote mpo salama
Ndugu zangu kijana wenu nimekuwa mtumiaji wa mitandao mbalimbali ya kijamii ikiwamo Telegram, Instagram, Twitter na mingineyo.
Kama utakukubaliana na Mimi ukipita kwenye mitandao hii Kuna kiwango kikubwa Cha biashara ya ngono (umalaya) inayohusisha watu kutangaza kujiuza au madalali wanaojinasibu kuuza wengine kingono.
Miaka mitano nyuma biashara hii ilikuwa kwa kiwango cha chini lakini kwa sasa imezidi kuwa tishio. Ukipita kwenye comments za page za habari, viongozi au watu maarufu utakutana na watu wakijinasibu kuwa na hamu ya kufanya mapenzi huku wakiweka namba zao kusisitiza watafutwe ili watoe huduma.
Zaidi ya hayo, biashara hii ya ngono mtandaoni imepiga hatua za kuvunja kabisa maadili ya Watanzania kwa kutangaza biashara za ushoga na kusagana wazi wazi.
Nawaangushia zigo hili TCRA kwa sababu watu wanafanya biashara hizi wanaweka namba zao wazi kabisa mitandaoni.
Nachojiuliza hapa ni kwamba je Mamlaka ya usimamizi na udhibiti wa Mitandao (TCRA) hawaoni haya?
Kama wanaona wanafanya jitihada gani kudhibiti biashara hizi hasa ukizingatia watu wanaweka mawasiliano yao na wao Wana Mamlaka ya kudhibiti.
TCRA msijifanye hamuoni, msichague vitu vya kudhibiti. Biashara hizi zinaathari kubwa sana kwa sababu mitandao kwa sasa inatumiwa na watoto, Vijana na wazee.
Tafadhali chukueni hatua.
Naheshimu mawazo yako Mkuu. Asante kwa maoni yako yapo sahihi. Lengo langu ilikuwa kuzikumbusha mamlaka kutimiza wajibu wao ili kudhibiti kushamiri kwa ngono mitandaoni. Biashara hizi zinaathiri na kugusa maisha, afya na saikolojia ya watu.Ubongo wako unakosa akili kiasi gani mpaka uanze kufatilia mtu liyecomment "LEO NATOA OFA NYUMA NA MBELE KWA KUMI WA MWANZO". au "LEO NINA HAMU NA NINI SIJUI"
Hadi hili mnataka serikali ikataze kweli?? Pesa ya kwako kanunue hao viumbe kwa raha zako usitake serikali ikukataze.
Ushawahi kusikia TCRA wamefanikisha kukamatwa hata tapeli mmoja? zaidi huwakama wanatukana wanasiasa tu, matapeli wanaweka hadi namba za simu na hawakamatwiSalaam wakuu, natumai nyote mpo salama
Ndugu zangu kijana wenu nimekuwa mtumiaji wa mitandao mbalimbali ya kijamii ikiwamo Telegram, Instagram, Twitter na mingineyo.
Kama utakukubaliana na Mimi ukipita kwenye mitandao hii Kuna kiwango kikubwa Cha biashara ya ngono (umalaya) inayohusisha watu kutangaza kujiuza au madalali wanaojinasibu kuuza wengine kingono.
Miaka mitano nyuma biashara hii ilikuwa kwa kiwango cha chini lakini kwa sasa imezidi kuwa tishio. Ukipita kwenye comments za page za habari, viongozi au watu maarufu utakutana na watu wakijinasibu kuwa na hamu ya kufanya mapenzi huku wakiweka namba zao kusisitiza watafutwe ili watoe huduma.
Zaidi ya hayo, biashara hii ya ngono mtandaoni imepiga hatua za kuvunja kabisa maadili ya Watanzania kwa kutangaza biashara za ushoga na kusagana wazi wazi.
Nawaangushia zigo hili TCRA kwa sababu watu wanafanya biashara hizi wanaweka namba zao wazi kabisa mitandaoni.
Nachojiuliza hapa ni kwamba je Mamlaka ya usimamizi na udhibiti wa Mitandao (TCRA) hawaoni haya?
Kama wanaona wanafanya jitihada gani kudhibiti biashara hizi hasa ukizingatia watu wanaweka mawasiliano yao na wao Wana Mamlaka ya kudhibiti.
TCRA msijifanye hamuoni, msichague vitu vya kudhibiti. Biashara hizi zinaathari kubwa sana kwa sababu mitandao kwa sasa inatumiwa na watoto, Vijana na wazee.
Tafadhali chukueni hatua.
Ndiyo maana nikasema CCM ni wateja wazuri sn wa hii mamboKuna Duwani juzi tu alitekwa na hao hao kule Tabata hamkusikia?
Una uhakika gani unaoshitaki kwao hawawezi kuwa wao na kama nao ni wao wanawezaje kukuelewa ili hali nao ni wao.Salaam wakuu, natumai nyote mpo salama
Ndugu zangu kijana wenu nimekuwa mtumiaji wa mitandao mbalimbali ya kijamii ikiwamo Telegram, Instagram, Twitter na mingineyo...