Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 25,252
- 36,513
Jana jioni nilikuwa namsikiliza kipindi cha JAHAZI cha Clouds Radio.
Studioni alialikwa mkurugenzi wa TCRA ambaye alitoa fafanuzi mbalimbali kuhusu kuhakiki namba za simu na alielezea mwishoni kuhusu kupanda kwa gharama za mitandao.
Bahati mbaya sana vipindi vingi vya redioni ambavyo watangazaji wamegeuka kuwa ndiyo wachambuzi vimekuwa vya upande mmoja na kukosa ladha hasa pale watangazaji wanapoongelea masuala yanayoathiri jamii. Laiti wangelikuwa wanaruhusu wasikilizaji kushirikj mubashara ingeweka uwiano mzuri.
Kwenye issue ya kupanda kwa gharama za mitandao, mkurugenzi wa Mamlaka ya Mawasiliano aliongea kuwa Tanzania gharama za huduma za mitandao hususan bando za internet zipo chini sana kulinganisha nchi za Afrika Mashariki na jumuiya ya SADC.
Watangazaji wa JAHAZI walijazia majibu ya mkurugenzi huku wakiwatupia lawama wamiliki wa simu mpanguso kuwa na matumizi yasiyo sahihi na kupakua apps ambazo zina opperate background.
Nilitamani kupata wasaa wa kumsaili mkurugenzi kuhusu hili la bei
Pia ifahamike kuwa, hali ya sasa kisayansi na kiteknolojia imepelekea ongezeko la mahitaji muhimu ya binadamu kutoka
Chakula
Mavazi
Malazi
Studioni alialikwa mkurugenzi wa TCRA ambaye alitoa fafanuzi mbalimbali kuhusu kuhakiki namba za simu na alielezea mwishoni kuhusu kupanda kwa gharama za mitandao.
Bahati mbaya sana vipindi vingi vya redioni ambavyo watangazaji wamegeuka kuwa ndiyo wachambuzi vimekuwa vya upande mmoja na kukosa ladha hasa pale watangazaji wanapoongelea masuala yanayoathiri jamii. Laiti wangelikuwa wanaruhusu wasikilizaji kushirikj mubashara ingeweka uwiano mzuri.
Kwenye issue ya kupanda kwa gharama za mitandao, mkurugenzi wa Mamlaka ya Mawasiliano aliongea kuwa Tanzania gharama za huduma za mitandao hususan bando za internet zipo chini sana kulinganisha nchi za Afrika Mashariki na jumuiya ya SADC.
Watangazaji wa JAHAZI walijazia majibu ya mkurugenzi huku wakiwatupia lawama wamiliki wa simu mpanguso kuwa na matumizi yasiyo sahihi na kupakua apps ambazo zina opperate background.
Nilitamani kupata wasaa wa kumsaili mkurugenzi kuhusu hili la bei
- Je gharama za mitandao kuwa chini kunaendana na uwiano wa mzunguko wa fedha?
- Je kipato halisi cha Mtanzania wa kati na wa chini kinawiana vipi na vipato vya wananchi wa nchi hizo hasa tukichukulia GDP per...
- Kwa nini mara nyingi kauli za TCRA zinazotolewa na viongozi wake waandamizi na hata waziri zimeelemea kutetea ukandamizwaji wa watumiaji wa huduma huku zikiwatetea watoa huduma za mitandao?
- TCRA imewahi kufanya tafiti zozote kuhusu athari na changamoto wsnazokutana nazo watumiaji wa huduma za mitandao?
- Mkurugenzi anapoeleza ongezeko la matumizi ya bando, atuelekeze tunapata wapi hizo data ili tuverify kuoanisha na tunachopitia?
Pia ifahamike kuwa, hali ya sasa kisayansi na kiteknolojia imepelekea ongezeko la mahitaji muhimu ya binadamu kutoka
Chakula
Mavazi
Malazi
- Elimu
- Mawasiliano
- Usafiri