TCRA fahamuni kuwa Watanzania ni waelewa kuliko mnavyodhani

Upo sahihi
 
Apps ya facebook ilianza ikiwa na mb 20 mwanzo ila sasa app ya facebook inafika mb 400.
Hapo ujatumia na ukitumia inaongezeka kufika 1gb na kitu.

Update ya simu inataka 2gb na kuendelea.

Leo hii internet ni anasa.kuna siku nilieleza EFD mashine wakati rekodi zako zipo TRA lakini unalazimishwa kuja na makaratasi ya risiti.
 
Waandishi wanaogopa kuhoji in deep wakihofu kufukuzwa kazi!
 
Nepi aliwahi kusema wazazi wake walijitoa kupigania nchi hii wakafa bila kumiliki kitu chochote lakini yeye hawezi kukubali aende mtupu chochote kitakachotokezea mbele yake ataupiga mwingi. kwa hiyo TCRA ni matokeo ya kuupiga mwingi.
 
Hawa wanahabari ni low brain ni wale unga unga hakuna one na two. Unadhani wanauwezo wa kuhoji jamb9 lolote? Labda bahasha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…