Mnyamahodzo
JF-Expert Member
- May 23, 2008
- 1,933
- 988
Kuna vipindi vinarushwa na FM radio zinazorusha matangazo yao kutokea jiji la Dar es salaam.
Vipindi hivi ni vile Uhondo na Sasambua.
Ukweli ni kuwa, japo vimeendelea kurushwa kwa muda mrefu, kimaadili vipindi hivi havijengi jamii bali vinaiharibu kidogo kidogo. Wakati kipindi cha Uhondo kinaongezea lugha ya kunyanyapaa mwanajamii kile cha Sasambua, kinapandikiza chuki na kuifundisha jamii hasa watoto namna ya kuwa mtukanaji.
Watangazaji wote wa vipindi hivyo wanachekelea sana mambo ya aibu yanayotamkwa na wageni wa vipindi vyao.
TCRA, inusuru jamii ya Kitanzania.
Vipindi hivi ni vile Uhondo na Sasambua.
Ukweli ni kuwa, japo vimeendelea kurushwa kwa muda mrefu, kimaadili vipindi hivi havijengi jamii bali vinaiharibu kidogo kidogo. Wakati kipindi cha Uhondo kinaongezea lugha ya kunyanyapaa mwanajamii kile cha Sasambua, kinapandikiza chuki na kuifundisha jamii hasa watoto namna ya kuwa mtukanaji.
Watangazaji wote wa vipindi hivyo wanachekelea sana mambo ya aibu yanayotamkwa na wageni wa vipindi vyao.
TCRA, inusuru jamii ya Kitanzania.