TCRA, hivi kwanini hamtulindi wananchi dhidi ya dhuluma? Badala yake mpo kwa kutukandamiza!

TCRA, hivi kwanini hamtulindi wananchi dhidi ya dhuluma? Badala yake mpo kwa kutukandamiza!

Hismastersvoice

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2013
Posts
21,741
Reaction score
26,735
Nilinunua kifurushi cha wiki cha Airtel nikiwa safarini Marangu Moshi, nilipofika nikakuta Airtel haipatikani hivyo kifurushi kikaisha kwa muda niliokuwepo hapo! TCRA wao wanajionea sawa tu. Nilitika Marangu nikaenda Moshi mjini eneo la KCMC ah!

Nako ni shida tu mpaka mwenyeji akuelekeze mahali unapoweza kuupata mtandao! Na maeneo mengi kwenye barabara ya Segera kwenda Moshi tunaliwa vifurushi vyetu bila fidia! TCRA ni sehemu la kundi linalo shiriki dhuluma dhidi yetu.

Nikija kwenye runinga nako unskutana na Azam, hawa hawaishi kupandisha bei vifurushi vyao na kunyofoa baadhi ya cheneli ambazo tayari tumezilipia! TCRA pia wanaona sawa tu!

TCRA tuwekeeni tangazo linalohusu vifurushi vya simu na runinga lisemalo "NUNUA KIFURUSHI KWA HASARA YAKO MWENYEWE" (BUY AT YOUR OWN RISK).
 
Maslahi ya watanzania kuangaliwa ni ngumu sana!! Utaambiwa yaezekana wakati unahangaika kukutafuta mtandao palepale kifurushi kulikua kinatumika bila ww kujua 🤣🤣🤣🤣!!! Sasa kosea mtandaon 🤣🤣🤣 utajua ujui!!
 
Maslahi ya watanzania kuangaliwa ni ngumu sana!! Utaambiwa yaezekana wakati unahangaika kukutafuta mtandao palepale kifurushi kulikua kinatumika bila ww kujua 🤣🤣🤣🤣!!! Sasa kosea mtandaon 🤣🤣🤣 utajua ujui!!
Moshi kuanzia njiapanda ya Himo hauwezi kutoa pesa kwenye Airtel, hakuna mtandao! Ni Tigo na Voda.
 
Voda na Tigo ni za Rostam Azizi hivyo hakuna namna vumilia maumivu
Sizungumzii za nani, nachisema kwanini vifurushi tunavyonunua viishe wakati hakuna mtandao na kwanini tusifidiwe kama walivyowahi kufanya miaka ya tisini? Kwahiyo kwa uzalendo wako unaona sawa tu wachukue hela zetu huku ni wao hawakuweka mtandao! Kweli ndio maana wanasema usimtetee mtanzania, utajikuta unayemtetea kakimbia.
 
Maisha yatakuwa rahisi siku ccm ikiondoka madarakani!
Mzee Africa tupambane, tazama nchi zote zilizoingiza wapinzani Ikulu Africa kama kuna afadhali wamepata, wanasiasa wanajitetea wao,
Sema jamaa ilibidi afanye utafiti wa hali ya mtandao huko aendako, kununua bando na kwenda madongo kuinama halafu kulaumu TCRA ni kutokuwa responsible na matendo yako bali kuleta mchezo wa kutupiana lawama,


Suala la Azam Tv kupandisha bei hio sio deal, tupo free economy, kila mtu aweke bei zake, kikubwa FTA zinapatikana hivyo hizo za ziada ziwe za bei wanayotaka wao mana serikali haioni umuhimu wa hizo channel,

Suala la kuchomoa channel tulizolipia tayari hapa Azam wanafanya utapeli wa waziwazi hivyo nashauri TCRA wafanye kitu aisee, na michezo hii ni kwa visimbuzi vyote
 
Mwanzoni mwa mwezi huu huko Malawi DSTV iliamua kufunga biashara, mamlaka ya nchi hiyo MACRA ikasema fungeni ila mnawaachaje watumiaji wa ving'amuzi vyenu, mtalazimika mbininue muondoke navyo kwa sababu havitakuwa na matumizi kwa wateja wenu, kesi iko mahakamani, hapa kwetu TCRA ingeona poa tu, watawapa watoto wao wachezee.
 
Mzee Africa tupambane, tazama nchi zote zilizoingiza wapinzani Ikulu Africa kama kuna afadhali wamepata, wanasiasa wanajitetea wao,
Sema jamaa ilibidi afanye utafiti wa hali ya mtandao huko aendako, kununua bando na kwenda madongo kuinama halafu kulaumu TCRA ni kutokuwa responsible na matendo yako bali kuleta mchezo wa kutupiana lawama,


Suala la Azam Tv kupandisha bei hio sio deal, tupo free economy, kila mtu aweke bei zake, kikubwa FTA zinapatikana hivyo hizo za ziada ziwe za bei wanayotaka wao mana serikali haioni umuhimu wa hizo channel,

Suala la kuchomoa channel tulizolipia tayari hapa Azam wanafanya utapeli wa waziwazi hivyo nashauri TCRA wafanye kitu aisee, na michezo hii ni kwa visimbuzi vyote
Acha hizo, Moshi mjini ni madongo kuinama! Dharau za kijinga hizo, unajua baadhi ya maeneo Dar mitandao ni shida.
Hilo la biashara huru haisemi zifanyike biashars za kihuni, hapa tume ya ushindani inahusika kuhakikisha wateja wanapata haki kulingana na malipo.
 
Back
Top Bottom