TCRA hivi mmeshindwa kufuatilia YouTube channels contents zilizosajiliwa?

TCRA hivi mmeshindwa kufuatilia YouTube channels contents zilizosajiliwa?

Kwa kweli ni kichefuchefu, watu wanafanya promo kama hawana wazazi au ndugu, mbaya zaidi wana promote Sodoma na Gomora na vitoto sijui walikuja kufanya kazi za ndani wakaasi? Manake ni zaidi ya huyo anayewasimamia (mkuu wa mashetani) Hebu fuatilieni hii channel ya Ophoro Tube.

Kwa kweli ni zaidi ya upumbavu na ikiwezekana warudishwe kijijini walikotoka, hakuna mtoto wa mjini anaweza kuwa au ku act kama vile hauna jirani. Jamani watoto wa form one na two wana hivi visimu vya kisasa muwaonee huruma.
Mkuu kazi ya ku hold YouTube channel usipo weka ujinga utakesha.
Niamini ukiwa na channel ukaweka content za maana viewers 10 kwa siku.
Ila ukiweka upuuzi viewers 1k kwa saa.
Tuulize tunao hold YouTube channel unakuta mwaka mzima una subscribers 20 nao ni marafiki zako tu.
 
Mkuu kazi ya ku hold YouTube channel usipo weka ujinga utakesha.
Niamini ukiwa na channel ukaweka content za maana viewers 10 kwa siku.
Ila ukiweka upuuzi viewers 1k kwa saa.
Tuulize tunao hold YouTube channel unakuta mwaka mzima una subscribers 20 nao ni marafiki zako tu.
Sio kweli kwa sababu mimi mwenyewe ni shahidi ya mambo hayo et usipo weka ujinga utakesha kuna channels nyingi nazifahamu mfano uki-ingia youtube uka-search @snashtz huyu jamaa anafanya review na unboxing ya simu mbalimbali kwa upande wa sub anayo 60k na ushee na views usiseme naweza kusema anawazidi hata hao wanaoposti ujinga...
 
Back
Top Bottom