Ramark JF-Expert Member Joined May 19, 2015 Posts 1,989 Reaction score 1,447 Aug 2, 2022 #21 Kuna point kidogo Lkn binafsi naona tofauti. Umaarufu wa YouTube unapungua, ndani ya mwezi naingia YouTube 2x inawezekana hats wengi wetu ni hivyo japo kule hakutumii mb nyingi. Tifikirie
Kuna point kidogo Lkn binafsi naona tofauti. Umaarufu wa YouTube unapungua, ndani ya mwezi naingia YouTube 2x inawezekana hats wengi wetu ni hivyo japo kule hakutumii mb nyingi. Tifikirie
DR HAYA LAND JF-Expert Member Joined Dec 26, 2017 Posts 23,928 Reaction score 63,499 Aug 2, 2022 #22 Watu wanapambania tumbo kilo moja ya unga 1800 sasa kipi Bora kuangalia ngono za diamond au kula ugali?
Watu wanapambania tumbo kilo moja ya unga 1800 sasa kipi Bora kuangalia ngono za diamond au kula ugali?