TCRA kufunga simu zisizosajiliwa ni mpango wa serikali kuwabana wale wanaotumia simu kusambaza habari za uzushi au fake news

Nimecheka kweli,ila kuna watu mna mawazo mfu mpaka mnashangaza katika ulimwengu huu,hoja uliyoibeba ya lengo la kufungiwa laini ambazo hazijasajiliwa kwakweli umeanguka na sio kuteleza. laiti ungeju umuhimu wake natumai huo mda wa kuandika hii hoja ungeiingizia hata familia yako kipato. jitahidi ujikusanye kusanye mwaka mmoja angalau uende kwenye nchi zilizoendelea ambako hua mnatoa mifano mizuri kisha ukaone namna ya kuishi na laini bila kusajiliwa kama kunawezekana
 
Chakaza,
Ni kama nimeshamsikia akisema NIDA yenyewe ni changamoto na zoezi la kufungwa laini halitowezekana.
Kama nimeshawahi kumsikia rais wa wanyonge akiliongelea hili
Anyway, tutulie muda na mwalimu mzuri
TBC wanaweka kibwagizo cha katazo la kufungia line lililotolewa na Mh Rais. wakati NIDA ndiyo wanashida na sio wananchi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sometimes JF ni wabaya sana, sometimes wa hovyo. Ukishauchomeka uzi ndani humu unakosa visibility na hivyo kupoteza maana! Nilishawalalamikia kwa hili lkn nao wakaidi kama Jiwe! Ulikuwa uzi muhimu sana , wangeliuach uonekane.
 
Habarini wana jukwaa,

Kwa siku za karibuni kuelekea tarehe 31/12/2019 tarehe ambayo serikali ilitangaza kufungia laini zote ambazo azijasajiliwa kwa alama za vidole, amekuwa akisema mara kwa mara kuwa anaisubilia siku iyo kwa hamu hili azime laini izo,jambo ambalo linaonesha litampa furaha, Badala kitumia muda uo kuwahasa wananchi kusajili laini zao mapema,

ijumaa njema.
 
Voda nao ndiyo wasumbufu kwenye usajili wa line. Jina likiwa limekosewa kidogo tu inakuwa shida.

Sasa unajiuliza line imesajiliwa ama lah. Unaenda na ID yako ya nida ili uisajili line wanakwambia majina yanatofautiana. Kwa kulinganisha na nini wakati ndiyo kwanza mnafanya usajili.

Vodacom muache usumbufu kwa wateja. Wenzenu upande wa pili hawana usumbufu usio walazima.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Itasaidia kwa wahalifu wadogo wadogo lakini yale mahalifu makubwa makubwa hawayapati maana teknokojia inabadilika kila baada ya sekunde
 
Watafunga line siyo simu bana
 
Sometimes JF ni wabaya sana, sometimes wa hovyo. Ukishauchomeka uzi ndani humu unakosa visibility na hivyo kupoteza maana! Nilishawalalamikia kwa hili lkn nao wakaidi kama Jiwe! Ulikuwa uzi muhimu sana , wangeliuach uonekane.
Na umejibu, nasikia Rais kaongeza siku 20 za usajili!
Ndio swali la Uzi kuhusu kiki lingekuja vizuri hapo. Wakati Waziri anatangaza kuwa kamwe hawatafanya hivyo alikuwa anaizungumzia serikali ipi? Na huyu anayesema Leo kaongeza siku 20 ni kiongozi wa serikali IPI?
Hapo ndio unakumbuka tangazo la msisitizo la ndoa la Mwakyembe na utapeli wa kiki uliofuata.
Yaani mwendo ni kulazimishwa kusema kitu cha hovyo ili Watanzania wachukie kusudi aje Rais kutengua kauli na ashangiliwe. KAFARA YA WAZI.
Kulikuwa na sababu zipi jambo hilo mpaka Rais alitangaze yeye? Tumechoka na drama!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo kubwa la nchi ya Kusadikika mambo mengi ya msingi huamuliwa na hufanywa kwa KUKURUPUKA.Hakuna maandalizi ya 'maana' yanayofanyika bali ni kutoa maagizo na kuanza kukimbizana utadhani mahayawani wasiokua na utaratibu.Hili jambo ni nyeti lakini linapelekwa puta ilimradi litekelezwe bila ya kuzingatia athari hasi zinazoweza kutokea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa hizo siku 20 ndiyo NIDA watakuwa wameshatoa vitambulisho vyote.

Wafungie tu hizo line za simu.

Kufuatia kuwepo uchache wa watumiaji wa simu kuanzia trh hiyo tutarajir gharama za mawasiliano kuwa juu ili kutoathiri mapato ya makampuni.

Tutaelewana tu hadi humu JF,bando zitakapokosekana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kampuni za Simu zinatii maagizo kama ilivo tcra pia kuwashtaki ni kuwaonea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…