This is big[emoji122][emoji122][emoji122]Nimeshajiandaa kisaikolojia kutokutumia simu ifikapo hiyo tr 31.
Na ikitokea kinyume chake nafungua kesi mahakamani kwa makampuni haya ya simu kuniharibu kisaikilojia.
Nasubiri kwa hamu wathubutu kutokufungia line niwaburuze kortini
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimecheka kweli,ila kuna watu mna mawazo mfu mpaka mnashangaza katika ulimwengu huu,hoja uliyoibeba ya lengo la kufungiwa laini ambazo hazijasajiliwa kwakweli umeanguka na sio kuteleza. laiti ungeju umuhimu wake natumai huo mda wa kuandika hii hoja ungeiingizia hata familia yako kipato. jitahidi ujikusanye kusanye mwaka mmoja angalau uende kwenye nchi zilizoendelea ambako hua mnatoa mifano mizuri kisha ukaone namna ya kuishi na laini bila kusajiliwa kama kunawezekanaHabari za uzushi za kutekwa kwa mdhibiti mkuu wa fedha za serikali wa zamani Profesa Assad zimezusha taharuki kubwa.
Na mpaka ilipoibuka video mitandaoni ambapo Profesa Assad anaonekana yupo salama na mwenye afya njema, watu wengi waliingiwa na hofu kubwa.
Ifikapo tarehe 31 Desemba mwaka huu serikali kupitia mamlaka ya mawasiliano TCRA itazifunga simu zote ambazo zitakuwa hazijasajiliwa.
Ili kuweza kusajiliwa inambidi mhusika kutoa alama za vidole na baada ya hapo kuweza kufuatiliwa na kubaini ni yupi mtumiaji sahihi wa kampuni ipi ya simu.
Hivyo basi, kuanzia tarehe 1 Januari mwaka 2020 mtu yeyote ambae atatumia simu yake ya mkononi atakuwa ni yule tu ambae amesajiliwa na TCRA.
Je, huo ndo utakuwa mwisho wa habari za uzushi mitandaoni?
Au ndo utakuwa mwanzo wa kuwadhibiti wale wote ambao wanatumia simu zisizosajiliwa?
TBC wanaweka kibwagizo cha katazo la kufungia line lililotolewa na Mh Rais. wakati NIDA ndiyo wanashida na sio wananchi.Chakaza,
Ni kama nimeshamsikia akisema NIDA yenyewe ni changamoto na zoezi la kufungwa laini halitowezekana.
Kama nimeshawahi kumsikia rais wa wanyonge akiliongelea hili
Anyway, tutulie muda na mwalimu mzuri
Sometimes JF ni wabaya sana, sometimes wa hovyo. Ukishauchomeka uzi ndani humu unakosa visibility na hivyo kupoteza maana! Nilishawalalamikia kwa hili lkn nao wakaidi kama Jiwe! Ulikuwa uzi muhimu sana , wangeliuach uonekane.Mkuu Retired hebu angalia huu upuuzi wa JF siku hizi! Mara hii thread yangu iliyokuwa na maudhui ya ubabaishaji wa kisiasa unaotaka kutumika ili kupata kiki kwa kutumia zoezi la laini ya simu imekuja kuchomekwa huku na kupoteza maana kabisa.
Kuna kila dalili kuwa CCM wamechomeka mtu wao katika maMOD kudhibiti mijadala ile inayoonekana itawaumbua. Nimechukia sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Huu ubavu hawajawi kuwa naoWacha wazifunge tu ili M-PESA, TiGo-Pesa zife, halafu waone impact yake kiuchumi
Hongera mkuu. Umenifundisha ujasiri. Tupo pamojaNIN nimepata miezi 9 iliyopita na sisajili hadi nifungiwe.
Watafunga line siyo simu banaHabari za uzushi za kutekwa kwa mdhibiti mkuu wa fedha za serikali wa zamani Profesa Assad zimezusha taharuki kubwa.
Na mpaka ilipoibuka video mitandaoni ambapo Profesa Assad anaonekana yupo salama na mwenye afya njema, watu wengi waliingiwa na hofu kubwa.
Ifikapo tarehe 31 Desemba mwaka huu serikali kupitia mamlaka ya mawasiliano TCRA itazifunga simu zote ambazo zitakuwa hazijasajiliwa.
Ili kuweza kusajiliwa inambidi mhusika kutoa alama za vidole na baada ya hapo kuweza kufuatiliwa na kubaini ni yupi mtumiaji sahihi wa kampuni ipi ya simu.
Hivyo basi, kuanzia tarehe 1 Januari mwaka 2020 mtu yeyote ambae atatumia simu yake ya mkononi atakuwa ni yule tu ambae amesajiliwa na TCRA.
Je, huo ndo utakuwa mwisho wa habari za uzushi mitandaoni?
Au ndo utakuwa mwanzo wa kuwadhibiti wale wote ambao wanatumia simu zisizosajiliwa?
Bila wifi utapataje signal pasipo kuwa na line?Haitasaidia maana kunawatu wanatumia WhatsApp na no nje pia watumia namba za apps utawadhibiti vipi??
Na umejibu, nasikia Rais kaongeza siku 20 za usajili!Sometimes JF ni wabaya sana, sometimes wa hovyo. Ukishauchomeka uzi ndani humu unakosa visibility na hivyo kupoteza maana! Nilishawalalamikia kwa hili lkn nao wakaidi kama Jiwe! Ulikuwa uzi muhimu sana , wangeliuach uonekane.
Kampuni za Simu zinatii maagizo kama ilivo tcra pia kuwashtaki ni kuwaonea.Nimeshajiandaa kisaikolojia kutokutumia simu ifikapo hiyo tr 31.
Na ikitokea kinyume chake nafungua kesi mahakamani kwa makampuni haya ya simu kuniharibu kisaikilojia.
Nasubiri kwa hamu wathubutu kutokufungia line niwaburuze kortini
Sent using Jamii Forums mobile app