TCRA kufunga simu zisizosajiliwa ni mpango wa serikali kuwabana wale wanaotumia simu kusambaza habari za uzushi au fake news

Usajili kwa njia ya vidole na vitambulisho vya Nida sio kizuio cha wakosoaji,social media nyingi unaweza jisali si lzm uwe na phone namba pia wawezajisajili hata kwa namba za nchi zingine dunia ni kijiji.
 
Kupata kete ya bangi rahisi kushinda kupata namba ya NIDA na kitambulisho chake.. Waache nye nye wafanye kazi kwa weledi watu wapate vitambulisho hizo siku 20 zilizoongezwa watu wapate namba..!!

~~Kitakachokupa ushindi ni juhudi zako~~
 
Dah hii kazi kweli kweli...NIDA wenyw wako trtb sn katk kukamilisha zoezi hilo, asa kwa wasiokuwa hata na namba inakuwaje kwao ktk zoezi hilo la usajili wa laini?,

Wafungie tu tuone, watafunga na watu bd watakuwa online km kawaida.
 
Hujui unalolizungumza.
Hili suala Ni la kiimani zaidi japo wengi wenu mnaona Ni la kawaida,kuelekea dunia kuabudu siku moja na kuwa na dini moja.
Hapa ndo tafasiri yake ilipo.
 
Ulijuaje???
Sent using Jamii Forums mobile app
 

Access to the world nikupitia simu tu? WiFi/Firewall/VPN zina namba za simu? watawabana nyie wa "Hela tuma kwenye Namba hii@
 
Sijuwi kwa nini ameongeza siku 20 nilisha jindaa maisha mapya bila mtandao wa simu!
 
Nimefatilia namba NIDA kwa muda mrefu, nimerekebisha taarifa zangu nikafatilia tena nikapigwa trh hadi mwakani. Nilipouliza line yangu ikifungwa yule mfanyakaz wa NIDA aka-play video ya mkuu.!

Patiently waiting........
Hiyo video ina ujumbe gani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
 

Attachments

  • VID-20191227-WA0006.mp4
    13.2 MB
Tamko la kutofunga line za Simu ambazo hazijasajiriwa Raisi wa Wanyonge alisha litoa miezi Kama 4 iliyopita Kama sijakosea!
 
Jina likiwa limekosewa kidogo? Kwa nini likosewe kidogo? Jina likiandikwa kwa tofauti ya herufi moja tu ni kosa! Kila siku huwa tunasema hapa watanzani kuweni makini. Unakuta mtu anaandika Magufuri badala ya Magufuli na ukimwambia ni kosa anatukana!
 
Jina likiwa limekosewa kidogo? Kwa nini likosewe kidogo? Jina likiandikwa kwa tofauti ya herufi moja tu ni kosa! Kila siku huwa tunasema hapa watanzani kuweni makini. Unakuta mtu anaandika Magufuri badala ya Magufuli na ukimwambia ni kosa anatukana!
Elewa mada,kama unafanya usajili maana yake ni kurekebisha hayo makosa. Ndiyo maana unapofanya usajili huandiki majina upya isipokuwa yanakuja moja kwa moja kama yalivyo katika NIDA ID.

Tofauti na zoezi la kipindi cha nyuma. Ndiyo maana inabidi kusiwe na usumbufu kwa wateja kwa hizo tofauti maana tuachoamini line tunazotumia hazina usajili.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umejigonga kwenye maelezo yako. Wewe umesema ''jina likikosewa kidogo''. Ndiyo maana nikauliza kwa nini likosewe?
 
Kwa utepetevu wa nida huo muda ati mwisho Jan20 hautoshi kabisa. Why the deadline?!!! Ilipaswa kuwa an ongoing process..... Na ni vizuri wangekubali vitambulisho vya kura! Shame on you ni da and da entire gvt represented by Kamwewe!!!

TBC wanaweka kibwagizo cha katazo la kufungia line lililotolewa na Mh Rais. wakati NIDA ndiyo wanashida na sio wananchi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Naamini wale wote wenye uwezo wa kufanya haya unayoyasema wameshasajili line zao mapema sana. Wale wasioweza kufanya hivyo ndo huwa wanasajili kwenye deadline
 
Tamko la kutofunga line za Simu ambazo hazijasajiriwa Raisi wa Wanyonge alisha litoa miezi Kama 4 iliyopita Kama sijakosea!
Hili nalo ni tamko la waziri mwenye dhamana ndani ya mwezi huu huu!
Ukiona serikali inaendeshwa namna hii ujue kuna walakini mkubwa sana huko ndani. Imagine mko vitani halafu kila MTU anasema vyake unajua nini kitatokea? Ni kipigo cha mbwa koko tuu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari feki asilimia 95 vyanzo vyake ni mitandao ya kijamii...sio simu.
 
MPUUZI huyo Mkuu, asikuumize kichwa. Ma CCM hovyo kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…