TCRA mjitathmini adhabu zenu

TCRA mjitathmini adhabu zenu

LICHADI

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2015
Posts
4,491
Reaction score
12,560
Laiti madereva barabarani wangekuwa wanafungiwa baada ya kutenda makosa basi gari zingekuwa zinahesabika humu barabarani

Ifike mahali TCRA ijikite kutoa adhabu kwa kupiga faini ndefu na kufungia baadhi ya wanaovunja sheria kutojihusisha na kazi fulani kwa miezi kadhaa kuliko kufungia taasisi nzima ambapo kunawaathiri hata wasio husika

Piga mtu faini ya milioni kadhaa adabu itakuwepo na muwaweke chini ya uangazili lakini kuifungia taasisi nzima kwa miezi sita hakusaidii kitu sana sana kukomoana tu na kufunga ajira za watu ambao wengine hata hawakuhusika ifike mahali TCRA ipige rungu kiakili ili kutoathiri ajira za Watanzania na kuhakikisha serikali bado inapata mapato yake lakini sio kufungiana ndani hapa wanakosea

Ni heri mngewapiga faini hata milioni 30 wangelipa mjenge madarasa watoto wasome kuliko kuifungia taasisi nzima kwa miezi sita, hapo mnauwa ajira na mnaikosesha serikali mapato yake, wekeni mfumo wa kupiga faini ndefu kulingana na kosa na kufungia baadhi ya watu waliohusika mziumize taaisisi nzima hapo mnakosea
 
Kukosea wamekosea? ndio wamekosea,lkn tujiulize je events ilikuwa ni live au ili edit-wa ikarushwa tena? Event ilikuwa live.

So kucontrol live events ni shughuli sana na ndio maana wenzetu mfano (BET Awards) kabla events yao haijaenda hewani wanakuambia kabisa hii ni live event na wanakwambia wanaotakiwa kuangalia ni watu wazima (18).Sababu wanajua sometime hasa wasanii wakike inaweza ikatokea kaanguka,Chupi ikakaa pembeni mashavu ya papuchi ya kaonekana (Ishamtokea Beyonce. Beyonce Suffers Onstage Panty Slip! Hot Pics Provided! | NSFW Celebs ) au sometimes hata lugha inaweza kuwa kali.

Kama ingekuwa events sio ya live kweli wanastahili hiyo adhabu ,sababu kinapitiwa na muhariri lkn still bado adhabu ni kubwa,unapoifungia TV miezi sita maanake kuna watu watakosa ajira kwa miezi sita hawana mshahara na ukizingatia mwezi wa January ni mwezi mgumu mno,manake familia zao zitakuwa na hali mbaya.

Kama ndio hivyo basi wapige marufuku mpaka Miss Tanzania manake wale wanavazi la ufukweni,sasa pata picha labda mmoja wa washiriki kadondoka alafu chupi nayo ikakaa pembeni papuchi ikaonekena manake hiyo TV itaifungia ,Fiesta zmida ya night kali kuna baadhi ya wasanii wanatukana kabisa ,ndugu yangu Majizo na watu wake wa singeli walio vurungwa nao itakuwa hivyo,sasa utafungia vituo vingapi manake events zote hizo zinaenda live na wasanii wetu wengi hutumia vilevi bange na vinywaji.

Cha msingi kama mimi TCRA ninge deal na Giggy Money wampe adhabu na wamkanye,Wasafi TV ningewatoza faini na ningeweka sheria kwamba kabla ya tukio ambalo kuna uwezekano ya katokea mambo ya kimaadili,lionyeshwe kuanzia saa 4 au 5 usiku na kabla ya kuanza waseme tukio hili wanatakiwa kutizama watu wa miaka 18.

NB;Manake kama hivyo basi wazuie kabisa Wasafi festival,Fiesta,Miss Tanzania na Mziki mnene zisiende live,sababu haya matukio mambo kama haya ,haya kwepeki yanaweza kutokea mda wowote jukwaani.
 
Miezi 6 itafanya Wadhamini mbalimbali kwenye vipindi vyao wajitoe hivyo itapelekea Taasisi kuyumba kiuchumi. Hata wakirudi hewani baada ya hiyo miezi 6, Hawatoweza kurudi vizuri kwa maana ya kupata Wadhamini wakubwa kwa haraka. Hivyo miezi 6 ijayo itakuwa ni kama Taasisi inajitafuta upya, kama vile inaanza upya. Inaweza pelekea baadhi ya wafanyakazi kupunguzwa.

TCRA haiwezi kupunguza hiyo adhabu kama Wasafi wenyewe hawajafanya juhudi ya kuomba kupunguziwa adhabu. Nawashauri Wasafi na Gigy waombe radhi TCRA na Mamlaka nyengine kama BASATA. Maana kama adhabu haitopunguzwa basi ni sawa na kusema 2021 Wasafi hawatofanya kitu.
 
Acha kujifanya mbumbumbu,unahitaji PhD ili ujue ya kwamba tatizo siyo TCRA?!Stay tuned the worst is yet to come!
 
Wakipunguziwa wengine waliowahi kupewa adhabu kama hizo wataona ni upendeleo.
Miezi 6 itafanya Wadhamini mbalimbali kwenye vipindi vyao wajitoe hivyo itapelekea Taasisi kuyumba kiuchumi. Hata wakirudi hewani baada ya hiyo miezi 6, Hawatoweza kurudi vizuri kwa maana ya kupata Wadhamini wakubwa kwa haraka. Hivyo miezi 6 ijayo itakuwa ni kama Taasisi inajitafuta upya, kama vile inaanza upya. Inaweza pelekea baadhi ya wafanyakazi kupunguzwa.

TCRA haiwezi kupunguza hiyo adhabu kama Wasafi wenyewe hajafanya juhudi ya kuomba kupunguziwa adhabu. Nawashauri Wasafi na Gigy waombe radhi TCRA. Kama adhabu haitopunguzwa basi ni sawa na kusema 2021 Wasafi hawatofanya kitu.
 
Miezi 6 itafanya Wadhamini mbalimbali kwenye vipindi vyao wajitoe hivyo itapelekea Taasisi kuyumba kiuchumi. Hata wakirudi hewani baada ya hiyo miezi 6, Hawatoweza kurudi vizuri kwa maana ya kupata Wadhamini wakubwa kwa haraka. Hivyo miezi 6 ijayo itakuwa ni kama Taasisi inajitafuta upya, kama vile inaanza upya. Inaweza pelekea baadhi ya wafanyakazi kupunguzwa.

TCRA haiwezi kupunguza hiyo adhabu kama Wasafi wenyewe hawajafanya juhudi ya kuomba kupunguziwa adhabu. Nawashauri Wasafi na Gigy waombe radhi TCRA na Mamlaka nyengine kama BASATA. Maana kama adhabu haitopunguzwa basi ni sawa na kusema 2021 Wasafi hawatofanya kitu.
Kabisa
 
Kukosea wamekosea? ndio wamekosea,lkn tujiulize je events ilikuwa ni live au ili edit-wa ikarushwa tena? Event ilikuwa live.

So kucontrol live events ni shughuli sana na ndio maana wenzetu mfano (BET Awards) kabla events yao haijaenda hewani wanakuambia kabisa hii ni live event na wanakwambia wanaotakiwa kuangalia ni watu wazima (18).Sababu wanajua sometime hasa wasanii wakike inaweza ikatokea kaanguka,Chupi ikakaa pembeni mashavu ya papuchi ya kaonekana (Ishamtokea Beyonce. Beyonce Suffers Onstage Panty Slip! Hot Pics Provided! | NSFW Celebs ) au sometimes hata lugha inaweza kuwa kali.

Kama ingekuwa events sio ya live kweli wanastahili hiyo adhabu ,sababu kinapitiwa na muhariri lkn still bado adhabu ni kubwa,unapoifungia TV miezi sita maanake kuna watu watakosa ajira kwa miezi sita hawana mshahara na ukizingatia mwezi wa January ni mwezi mgumu mno,manake familia zao zitakuwa na hali mbaya.

Kama ndio hivyo basi wapige marufuku mpaka Miss Tanzania manake wale wanavazi la ufukweni,sasa pata picha labda mmoja wa washiriki kadondoka alafu chupi nayo ikakaa pembeni papuchi ikaonekena manake hiyo TV itaifungia ,Fiesta zmida ya night kali kuna baadhi ya wasanii wanatukana kabisa ,ndugu yangu Majizo na watu wake wa singeli walio vurungwa nao itakuwa hivyo,sasa utafungia vituo vingapi manake events zote hizo zinaenda live na wasanii wetu wengi hutumia vilevi bange na vinywaji.

Cha msingi kama mimi TCRA ninge deal na Giggy Money wampe adhabu na wamkanye,Wasafi TV ningewatoza faini na ningeweka sheria kwamba kabla ya tukio ambalo kuna uwezekano ya katokea mambo ya kimaadili,lionyeshwe kuanzia saa 4 au 5 usiku na kabla ya kuanza waseme tukio hili wanatakiwa kutizama watu wa miaka 18.

NB;Manake kama hivyo basi wazuie kabisa Wasafi festival,Fiesta,Miss Tanzania na Mziki mnene zisiende live,sababu haya matukio mambo kama haya ,haya kwepeki yanaweza kutokea mda wowote.
Lakini Kwanza TV walifungiwa miezi sita kwa kurudia Tangazo la Ubalozi wa Marekani.
Adhabu ni kubwa mno lakini utufumbue macho tuwakumbuke na wengine walioteseka na sheria hiyo
 
Lakini Kwanza TV walifungiwa miezi sita kwa kurudia Tangazo la Ubalozi wa Marekani.
Adhabu ni kubwa mno lakini utufumbue macho tuwakumbuke na wengine walioteseka na sheria hiyo
Asante si kulijua hilo.
 
Laiti madereva barabarani wangekuwa wanafungiwa baada ya kutenda makosa basi gari zingekuwa zinahesabika humu barabarani

Ifike mahali TCRA ijikite kutoa adhabu kwa kupiga faini ndefu na kufungia baadhi ya wanaovunja sheria kutojihusisha na kazi fulani kwa miezi kadhaa kuliko kufungia taasisi nzima ambapo kunawaathiri hata wasio husika

Piga mtu faini ya milioni kadhaa adabu itakuwepo na muwaweke chini ya uangazili lakini kuifungia taasisi nzima kwa miezi sita hakusaidii kitu sana sana kukomoana tu na kufunga ajira za watu ambao wengine hata hawakuhusika ifike mahali TCRA ipige rungu kiakili ili kutoathiri ajira za Watanzania na kuhakikisha serikali bado inapata mapato yake lakini sio kufungiana ndani hapa wanakosea

Ni heri mngewapiga faini hata milioni 30 wangelipa mjenge madarasa watoto wasome kuliko kuifungia taasisi nzima kwa miezi sita, hapo mnauwa ajira na mnaikosesha serikali mapato yake, wekeni mfumo wa kupiga faini ndefu kulingana na kosa na kufungia baadhi ya watu waliohusika mziumize taaisisi nzima hapo mnakosea
Ninyi wafuasi wa Chibu Domo acheni kelele. Tulieniiiii

Iko wapi Kwanza TV, Mawio Gazeti, MwanaHALISI, Tanzania Daima.

Wakati hizo media zinafungiwa mlikuwa hamna macho ?????
 
Mimi nashauri hoja ijengwe dhidi ya sheria inayotumika kuadhibu badala ya kujikita kutetea WasafiTV pekee.

Maana kuna wengine pia waliadhibiwa kwa kufuata sheria hiyohiyo, vipi sasa iwe issue kwa kuwa tu ni WasafiTV?
 
Duani Nchi Yoyote ileee ambayoo inaendekeza Maadili Haijawahi Fanikiwaaaa.

Kuwekeza Afrika Inahitaji Moyo Sana.

Miezi 6 Sijui nani Ana Loose Kama Watu Wanalipa Kodi zote Tsh 30M kwa Mwezi Kwa Miezi 6 wamepoteza 180M
 
Back
Top Bottom