Meneja wa Huduma za Utangazaji wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Andrew Kisaka amesema kuwa ikiwa mwandishi wa habari anataka kugombea nafasi ya uongozi kwenye siasa anapaswa kuacha kazi, na ikatokea hakuchaguliwa, anaweza kurejea tena kwenye kazi yake ya uandishi kwa mujibu wa taratibu za mwajiri wake wa awali.
Huu ni uchizi mkubwa sana, je, hao waandishi wamesajiriwa, wana ithibati za vyeti certifications? Je, wasio na sifa za uandishi wa habari hawapo kwenye Vyombo vya habari hao mnawaitaje?