Uchaguzi 2020 TCRA na Mitandao ya simu mtuombe radhi kwa SMS hii. Mmetoa namba za wananchi kwa wanasiasa? Mmefanya makosa makubwa!

Watanzania wa mitandaoni wanambwembwe sana. Wanaosema watashtaki tutawakumbusha baada ya mwaka mtupe mrejesho wa kesi zenu.
Kama walishindwa kushtaki wanaokatwa na HESLB 15% zaidi walitupigia makelele na story humu JF mpaka leo kimya.


Sent from my Infinix X603 using JamiiForums mobile app
 
Wakinitumia hiyo sms ntakufa nao mahakamani sitaki jumbe za kijinga km hiyo
 
Wewe ndio una kelele hutaki kuelewa siku zote haya makapuni hawakutumii jambo mojakwa moja mpaka wewe ukubaliane iweje wanitumie wanasiasa. Shida sio kusoma, shida why wa force kwa watu, hebu kuwa muelewa, Kwanza usinichoshe Mimi, mfyuuuuu
Wapi hapo wamesema kuwa hawakutumii jambo moja kwa moja mpaka wewe ukubaliane nao? unapoona tangazo facebook kuhusu kampuni flani unakuwa umekubaliana nao hao wenye kampuni wakuoneshe?

Mpaka sasa umekuwa unaongea kwa vile unavofikiri tu ila kiushahidi huna kimoja 😀 Nimekuletea hapo mfano wa Tigo, sasa nioneshe hapo wapi wameandika kuwa watashare info zako kwa consent yako?
 
Nimeongea uhalisia wangu wewe unanilazimisha nikubaliane nayo wewe vepee.
 
Inasikitisha sana...

Siku ya kupiga kura usishangae ukaambiwa mbona ulishapiga kura...

Wakikuonesha unona kweli, kumbe kuna Taasisi/mamlaka fulani ishaambiwa ifanye yake...



Cc: mahondaw
 
😂😂😂
 
Kwa heshima na unyenyekevu mkubwa!!!!! Mwamba ameanza lini kuwa mnyenyekevu, looo.
 
Ha ha ha pale text inampomfikia TL akiwa kwa kampeni ikisomeka...

"Ndugu Tundu Antipas Lissu kwa heshima na unyenyekevu mkubwa Mimi RAIS wako John J Magufuli nakuomba unipigie kura mimi, Wabunge na Madiwani wa Chama Dume Africa CDA, nishinde kwa 99.999%"
 

Kizuri chajiuza kibaya chajitembeza.
 
Huu mchezo hawajaanza Leo, Vodacom na Airtel ndo zao. Wamempa access JPM ya database za wateja wao.

Natamani watu waende mahakamani kwa hili ili haya makampuni yalipishwe fidia ya kutosha.
Dogo hiyo ni biashara matangazo hayo yamelipiwa kama unavyoona matangazo ya kwenye tv. hutaki jitoe kwenye mitandao hiyo
 
Kwa hiyo ukiona tangazo la pepsi kwenye tv wewe unafanyaje?
 
Kateka makampuni ya simu ili yatoe database ya wateja wao kisha watawanye pop up messages...ni kosa kwa mujibu wa sheria .Natamani Lissu apige mkwara haya makampuni.
Susieni basi! Si Viongozi wenu wakiwemo kina Lisu wakihamasisha msusie lain za voda?
 
Hata na wao wana CCM wanaona hakuna aliekuwa timamu alieko CDM au ACT kwa dhati.
Kuwa CDM au ACT ni mapenzi ya dhati ya mtu kwani hakuna kunufaika huko tofauti na CCM, CCM wanapesa mpaka za kuwanunua wapinzani kitu ambacho chdema hawawezi fanya hata kama wakiamua

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…