Uchaguzi 2020 TCRA na Mitandao ya simu mtuombe radhi kwa SMS hii. Mmetoa namba za wananchi kwa wanasiasa? Mmefanya makosa makubwa!

Utawala huu siyo tu vyombo vya habari bali ni hata individuals wanaogopa, na kama hujui hiyo ni dalili ya kuongozi kuwa dikteta. Ulisikia kauli ya slowslow baada ya Ponda kumuunga mkono Mh Lissu?

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 

yaani nmetoka kuangalia vvideo ya ponda akiwa sjui hai na dogo mdomo, sasa izo comment ndo kaharibu kabisa, kaanza kuingiza uisllam kwenye siasa ,
 
Sheria zetu kwa kawaida haziku ruhusu,ubaguzi,Ila hizi za mwendokasi/hati za dharura sijui,nifahamishwe kwa mjuzi was Mambo haha.
 
yaani nmetoka kuangalia vvideo ya ponda akiwa sjui hai na dogo mdomo, sasa izo comment ndo kaharibu kabisa, kaanza kuingiza uisllam kwenye siasa ,
Of course dini na siasa si vizuri kuviunganisha/changanya, vp ulimsikia yule bhna wa kusini(Bakwata) Au yeye hukupata taarifa zake mkuu?

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Umepatwa na nini mbona kwa sasa umeamua kusimamia ukweli??

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app

hahaha we jitahidi endelea kubadilisha maneno yangu kama huelewi, ila ndo ivo! waislam wenzake washatoa tamko sasa ajiandae tu kunyoosha na waislam wengine,sjawahi kuona muislam anasupport ndoa za jinsi moja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…