I am Groot
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 3,929
- 10,747
Ni aibu kuona chombo kikubwa kama hiki ndani ya serikali kikiendeshwa bila weledi na sembuse kisichopenda kuwajibika litokeapo kosa kati ya matawi inayoyasimamia.
Mfano hai ni hiki kinachoendelea sasa kwenye mgogoro kati ya watoa huduma na wateja juu ya upandishaji holela wa bei za data.
Pamoja na malalamiko ya wateja katika harakati za kuomba utatuzi wa jambo badala yake kumekuwa na machapisho kadha wa kadha kujinasibu kuwa tanzania tuna bei ndogo zaidi kuliko nchi nyingi za A. Mashariki. Kujilinganisha na nchi nyingine, nani kawatuma? Nani anajali??
Tazama mifano ya machapisho hayo
Wadau hawana dogo nao wanajibu mapigo kwa fact
Pamoja na yote mdau mmoja hakuwa nyuma ya wakati
Tutaendelea na mwendo huu mpaka lini? Kwa nini turidhike na nafasi hii tuliyopo sasa badala yake tufanye juhudi tuwe mfano kwa wengine kwa kushika namba 1? Au wapi tunakwama kama taifa?
Anyway!. Tupate ufafanuzi zaidi toka »
Mfano hai ni hiki kinachoendelea sasa kwenye mgogoro kati ya watoa huduma na wateja juu ya upandishaji holela wa bei za data.
Pamoja na malalamiko ya wateja katika harakati za kuomba utatuzi wa jambo badala yake kumekuwa na machapisho kadha wa kadha kujinasibu kuwa tanzania tuna bei ndogo zaidi kuliko nchi nyingi za A. Mashariki. Kujilinganisha na nchi nyingine, nani kawatuma? Nani anajali??
Tazama mifano ya machapisho hayo
Wadau hawana dogo nao wanajibu mapigo kwa fact
Pamoja na yote mdau mmoja hakuwa nyuma ya wakati
Tutaendelea na mwendo huu mpaka lini? Kwa nini turidhike na nafasi hii tuliyopo sasa badala yake tufanye juhudi tuwe mfano kwa wengine kwa kushika namba 1? Au wapi tunakwama kama taifa?
Anyway!. Tupate ufafanuzi zaidi toka »