I am Groot
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 3,929
- 10,747
Kwa hiyo mnataka kusemaje? Je hamna utaratibu wa kuhakiki vyeti vya wanahabari kabla hamjafungua au kutoa leseni ya biashara?"Humphrey Polepole Online Television ina mapungufu ya kutokuwa na wafanyakazi wenye taaluma ya uandishi na utangazaji wa habari, jambo linalowapelekea kukiuka sheria, kanuni, misingi na maadili ya uandishi na utangazaji wa habari katika kazi zao." - Kamati ya Maudhui ya TCRA
Kumbe Magufuli bado anaishi katika dikteta Samia"Humphrey Polepole Online Television ina mapungufu ya kutokuwa na wafanyakazi wenye taaluma ya uandishi na utangazaji wa habari, jambo linalowapelekea kukiuka sheria, kanuni, misingi na maadili ya uandishi na utangazaji wa habari katika kazi zao."
Kamati ya Maudhui ya TCRA imesema kipindi cha Shule ya Uongozi cha Mbunge Humphrey Polepole kinatolewa pasipo kuzingatia misingi, sheria na kanuni za huduma ya utangazaji. Kamati imeongeza kuwa maudhui ya kipindi ni ya upotoshaji na yanayoweza kusababisha taharuki kwa wananchi.
- Kamati ya Maudhui ya TCRA
====
TCRA yakifungia kipindi cha Shule ya Uongozi cha Humphrey Polepole
Wamemfungia jamaa..Si waifungie au wamtoze faini mmiliki!
Nchi ngumu sana hiiKwa hiyo mnataka kusemaje? Je hamna utaratibu wa kuhakiki vyeti vya wanahabari kabla hamjafungua au kutoa leseni ya biashara?
Humphrey Polepole asihukumiwe kwa uzembe wa TCRA.
.Kumbe Magufuli bado anaishi katika dikteta Samia
Pole sijakuzuia kwenda shule.
Magufuli ameingiaje hapo.
Lengo langu kutaka kujua wala si kukuzuia kutoa hoja.Pole sijakuzuia kwenda shule
wakitumaliza sisi wataanza wao kwa wao "Mwl JK Nyerere"
Kwani hiyo kafungua leo? Siku zote walikuwa wapi?Polepole yeye hajui ukiwa na online TV inabidi usiwashike wale jamaa.