Kasomi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 11,030
- 20,391
- Thread starter
- #21
Anha itakua ni yao maana vipeperushu vingi vya TCRA vinahayo magari.Yalionekana kwenye website yao labda kama wameondoa zile picha maana kipindi cha uchaguzi baadhi ya wadau humuhumu jukwaani walisema yanapikiwa ubwabwa kwa ajili ya wapigakura wa chama dume