MPUNGA MMOJA
JF-Expert Member
- May 30, 2015
- 304
- 401
“Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) inapenda kuwajulisha kwamba sasa vifurushi vya mawasiliano ya simu vimerudi kama awali, endapo kuna Mwananchi bado anapata changamoto ya huduma hii tuandikie TCRA
====
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imetaarifu kuwa vifushi vya mawasiliano vimerudi kama awali. Kama kuna mwananchi anachangamoto anaweza kuwaandikia kwenye kurasa zao za mitandao ya kijamii
Vifurushi vilipanda bei Aprili 1, ambapo wananchi walilalamikia bei mpya kwa kuwa ziliongezeka kwa zaidi ya 100% na TCRA wakaamuru bei zirudi kama awali
====
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imetaarifu kuwa vifushi vya mawasiliano vimerudi kama awali. Kama kuna mwananchi anachangamoto anaweza kuwaandikia kwenye kurasa zao za mitandao ya kijamii
Vifurushi vilipanda bei Aprili 1, ambapo wananchi walilalamikia bei mpya kwa kuwa ziliongezeka kwa zaidi ya 100% na TCRA wakaamuru bei zirudi kama awali