TCRA: Sasa vifurushi vimerudi kama awali

TCRA: Sasa vifurushi vimerudi kama awali

TCRA wanatuonaga watanzania ni kama matahira hivi, afu wanajiona kamabma superior hivi...
Kumbe vice-versa reflects the reality...
 
Na free basics voda wamefreeze kabisa hivi TCRA wanashangaza vimerudi kawaida kivp?INA maana hawakuwa na copy ya zamani kuwa vifurushi vinakuwaje wajaribu kulinganisha? Kila siku wanaimba vimerudi halafu hamna kitu kuna SAA namkumbuka sio siri japo na ukorofi wake ila angeshalisolve ndani ya siku chache na huyu Ndugire sijui ndungu...e angeshatumbuliwa wanatuona watoto mno...siyo kwa ubaya apumzike kwa amani
 
Tatizo jingine kwa hawa tigo ni huo upuuzi wao wa LONGA NAE

Wangeweka tu option kama mtu anahitaji ajiunge ila kwa asiyehitaji angepatiwa tu full package ya kupiga namba anayoitaka...!
 
ACheni uongo hamna kilichobadilika voda na tigo bado vifurushi vipo vile vile acheni kutufanya wajinga
 
Na free basics voda wamefreeze kabisa hivi TCRA wanashangaza vimerudi kawaida kivp?INA maana hawakuwa na copy ya zamani kuwa vifurushi vinakuwaje wajaribu kulinganisha? Kila siku wanaimba vimerudi halafu hamna kitu kuna SAA namkumbuka sio siri japo na ukorofi wake ila angeshalisolve ndani ya siku chache na huyu Ndugire sijui ndungu...e angeshatumbuliwa wanatuona watoto mno...siyo kwa ubaya apumzike kwa amani
Naamini kabisa lilikuwa wazo la mtukufu wala sio wazo la waziri nduguyule kuhusu kupanda kwa vifulushi ili vijana tukachimbe vyoo ndio tuonekane kwamba tunaendana na hapa kazi tu. kwamaana kabla hajatutoloka kunabaazi ya vibwengo walikuwa wanatafuta kiki kwa kusema vijana niwavivu. hivyo angekuwepo angeshangilia nakusema pigeni kazi acheni uvivu.
 
Back
Top Bottom