TCRA simamieni namba za simu zilizosajiliwa zisipate usajili mpya

Mtu anafumgwa gerezani mwaka akitoka hana chake,
Ki ukweli hii ki usalama ni hatari sana
 
C.A.G afanye uhakiki wa hizi fedha zinazobakia huko
 

Nina rafiki yangu alienda kusoma Nje ila kwa kuwa namba yake alisajili kwa kitambulisho cha Taifa hakupata hiyo changamoto.
Hebu tujiridhishe kwanza kama hizo namba wanazopewa watu wengine zilisajiliwa kwa kitambulisho cha TAIFA...
 
Nina rafiki yangu alienda kusoma Nje ila kwa kuwa namba yake alisajili kwa kitambulisho cha Taifa hakupata hiyo changamoto.
Hebu tujiridhishe kwanza kama hizo namba wanazopewa watu wengine zilisajiliwa kwa kitambulisho cha TAIFA...
Mimi zangu zote voda na airtrl nimezisajili na NI. Hapa bila kujali, hiyo namba umeisajili vipi ikiisha kutumika kwa mtu mmoja ibakie tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…