Kinengunengu
JF-Expert Member
- May 3, 2021
- 1,716
- 4,375
Leo nimepigiwa simu na namba 0653608556 akijifanya Mfanyakazi wa Tigo pesa na akasema akaunti yangu ya tigo pesa imefungiwa.
Jamaa akaanza nisomesha na akauliza simu yako ni smartphone au kiswaswadu. Nikasema kiswaswadu, akaniambia nibonyeze namba *37# sikubonyeza na yeye akajua kwamba sikubonyeza na simu yangu ni smartphone. Kilichofuata ni matusi mazito kwangu.
Kero hii imekuwa ni ya kujirudia, binafsi ni mara ya tatu au nne kunipigia na baada ya kuwashtukia wanatukana.
TCRA tusaidieni kuondoa hizi kero. Yaani jamaa anataka kukutapeli na ukishtuka anakutukana. Hii sio sawa. Tusaidieni lasivyo kuna siku tutachukua sheria mkononi kwa watu kama hawa.
Jamaa akaanza nisomesha na akauliza simu yako ni smartphone au kiswaswadu. Nikasema kiswaswadu, akaniambia nibonyeze namba *37# sikubonyeza na yeye akajua kwamba sikubonyeza na simu yangu ni smartphone. Kilichofuata ni matusi mazito kwangu.
Kero hii imekuwa ni ya kujirudia, binafsi ni mara ya tatu au nne kunipigia na baada ya kuwashtukia wanatukana.
TCRA tusaidieni kuondoa hizi kero. Yaani jamaa anataka kukutapeli na ukishtuka anakutukana. Hii sio sawa. Tusaidieni lasivyo kuna siku tutachukua sheria mkononi kwa watu kama hawa.