Mbwa sana wale. Mara zote hukimbilia kukutukania mama mzazi. Mimi nikipokea simu na kukuta jitu linaleta ujinga wake, silipi nafasi! Maana litanipotezea tu muda wangu, na pia nitalipa nafasi ya kunitukana.
Mimi natanguliza matusi mbele kwa mbele nikishamshtukia, tena namtukania mama yake na kushinikiza humo humo matusi mazito mazito, hamna namna nyingine.....hata kwetu Kenya wamekua kero.