TCRA: Utoaji wa Leseni za Maudhui Mtandaoni umesitishwa hadi Juni 30, 2021

TCRA: Utoaji wa Leseni za Maudhui Mtandaoni umesitishwa hadi Juni 30, 2021

Naunga mkono huo uamuzi wa TCRA, hivyo vi blogs vimekuwa vingi havina habari zozote za maana, na zaidi hata wana habari wao kuandika maneno ya kiswahili hawajui.

Wanachanganya sana herufi "r" na "L" wanachojua wao ni kuwaambia watazamaji wao "subscribe" to view more videos like this, wakati video zenyewe ni umbea mtupu.

Inshort, hakuna elimu yoyote ya maana inayopatikana kwenye hivyo vi blog, zaidi ya wao binafsi kuangalia namna ya kujinufaisha kibiashara but in a very wrong way, kama ni suala la kujiajiri muhimu wafuate misingi.
 
Awamu hii ni ya ovyo kuliko kipindi chochote cha uhai wa Taifa letu.

Halafu kuna wendawazimu wanasema aongezewe muda. Ingekuwa ni nchi zinazojitambua, huyu alikuwa wa kufurushwa hata kabla ya muda wake kwisha. Huyu ni mtu wa namna hani ambaye wakati wote ni kufungia huduma zinzowapa watu uhuru?

Na hawa viongozi wa taasisi hizi zinazojikomba kwake, ni vema wawe noted ili siku moja wafikishwe kwenye vyombo vya sheria kwa ujinga wanaoufanya ili kumfurahisha dikteta.
 
Wana bodi,

Hivi karibuni, mamlaka ya mawasiliano Tanzania (TCRA) ilifanya maamuzi ya kusitisha kutoa leseni mpya kwa online TVs na Blogs zote nchini. Inasemekana kwamba maamuzi haya yalifanywa kutatua tatizo la ukiukwaji wa maadili na kanuni. Kama mtumiaji wa huduma zinazo tolewa na vyombo hivi vya habari ninajiuliza kama maamuzi yenyewe yalifanywa kwa kufata kanuni zilizopo au ni maamuzi holela yaliyo fanywa na watu wachache.

Mfano mkubwa wa sehemu ambayo ni blog ila sio blog rasmi ni Jamii Forum yenyewe. Nina fikiri kwamba kwa kawaida kwenye kitengo chochote, lazima adhabu nyingi ziwepo (kama vile faini na suspensions kwa vyombo husika) kabla ya maamuzi ya mwisho ya kuamua kufungia chombo chochote cha habari. Vile vile ni muhimu kwa TCRA kuwa na kanuni kwa ajili ya vyombo hivi vya habari kabla ya kuchukua maamuzi yoyote.
.
TCRA kimekuwa chombo cha kusitisha ajira ambazo chenyewe na serikali haviwezi kutoa.
Kwa hili si uminywaji tu wa haki za habari kana katiba inavyosema, lakini ni kufuta ajira za vijana wanaotaka kujiajiri.

TCRA wajikite kuatika kuajiri watu zaidi kufuatilia maadili na content za kimaendeleo katika vyombo husika.
Kuzuia ni kukubali kushindwa.
 
Naunga mkono huo uamuzi wa TCRA, hivyo vi blogs vimekuwa vingi havina habari zozote za maana, na zaidi hata wana habari wao kuandika maneno ya kiswahili hawajui.

Wanachanganya sana herufi "r" na "L" wanachojua wao ni kuwaambia watazamaji wao "subscribe" to view more videos like this, wakati video zenyewe ni umbea mtupu.

Inshort, hakuna elimu yoyote ya maana inayopatikana kwenye hivyo vi blog, zaidi ya wao binafsi kuangalia namna ya kujinufaisha kibiashara but in a very wrong way, kama ni suala la kujiajiri muhimu wafuate misingi.
Mawazo finyu kabisa.
Mtoto wako akiwa na tatizo la kutamka “l” badala ya “r” unamchinja?
 
Naunga mkono huo uamuzi wa TCRA, hivyo vi blogs vimekuwa vingi havina habari zozote za maana, na zaidi hata wana habari wao kuandika maneno ya kiswahili hawajui.

Wanachanganya sana herufi "r" na "L" wanachojua wao ni kuwaambia watazamaji wao "subscribe" to view more videos like this, wakati video zenyewe ni umbea mtupu.

Inshort, hakuna elimu yoyote ya maana inayopatikana kwenye hivyo vi blog, zaidi ya wao binafsi kuangalia namna ya kujinufaisha kibiashara but in a very wrong way, kama ni suala la kujiajiri muhimu wafuate misingi.
Nawe ni mpuuzi kama wapuuzi wengine. Unalazimishwa kuangalia hizo blogs? Mlaji anatakiwa kuwa na uhuru.

Mbona wapo wengi hawafurahishwi na magazeti ya propaganda kama uhuru, tanzanite, habari leo au TV kama TBC; hawasomi, na hawaangalii lakini wapo wanaoangalia. Mlaji ni lazima awe na uhuru.
 
Naunga mkono huo uamuzi wa TCRA, hivyo vi blogs vimekuwa vingi havina habari zozote za maana, na zaidi hata wana habari wao kuandika maneno ya kiswahili hawajui.

Wanachanganya sana herufi "r" na "L" wanachojua wao ni kuwaambia watazamaji wao "subscribe" to view more videos like this, wakati video zenyewe ni umbea mtupu.

Inshort, hakuna elimu yoyote ya maana inayopatikana kwenye hivyo vi blog, zaidi ya wao binafsi kuangalia namna ya kujinufaisha kibiashara but in a very wrong way, kama ni suala la kujiajiri muhimu wafuate misingi.
Mimi ningedhani waweke vigezo na mashariti magumu ili kuchuja wale wababaishaji kuliko kusitisha kabisa kusajili.
 
Jakaya ndio katufikisha hapa

Yaan Nchi alikabidhiwa mungu wa mingu, mungu wa mababu namababu, anayependa kila Chombo cha habari kimsifiee



Alafu kuna Mbwa wa kijani wa Lumumba wanaowaza kwa matako, utasikia " Vijana Jiajirini kwenye kilimo na ufugaji".....

Kwa kilimo kipi?? Kwa ufugaji upi???? Mim saizi hata uwe ndugu yangu, Ukiniomba hata Mia, HUPATI NG'OOO ili mradi tu niwe najua ni mbwa wa CCM

Huo U-CCM na ufedhuli wake, upeleke hukohuko kmmmake.
Kwa matusi haya TCRA wasiifungie JF, kweli?
 
Mawazo finyu kabisa.
Mtoto wako akiwa na tatizo la kutamka “l” badala ya “r” unamchinja?
Huyajui hata hayo mawazo finyu maana yake nini, huwezi kushindwa kitu kidogo ukaweza kitu kikubwa, ndio maana wameambiwa atleast wawe na elimu ya diploma, serikali kwa hili naiunga mkono asilimia mia moja.

Sorry kama una ka-blogu kako.
 
Mimi ningedhani waweke vigezo na mashariti magumu ili kuchuja wale wababaishaji kuliko kusitisha kabisa kusajili.
From there I hope ndio watakuja kivingine sasa, wababaishaji wote wachujwe wabaki wachache watakaokuwa na quality inayohitajika kwa mlengwa.
 
Jakaya ndio katufikisha hapa

Yaan Nchi alikabidhiwa mungu wa mingu, mungu wa mababu namababu, anayependa kila Chombo cha habari kimsifiee



Alafu kuna Mbwa wa kijani wa Lumumba wanaowaza kwa matako, utasikia " Vijana Jiajirini kwenye kilimo na ufugaji".....

Kwa kilimo kipi?? Kwa ufugaji upi???? Mim saizi hata uwe ndugu yangu, Ukiniomba hata Mia, HUPATI NG'OOO ili mradi tu niwe najua ni mbwa wa CCM

Huo U-CCM na ufedhuli wake, upeleke hukohuko kmmmake.
Si kweli, mzee wa msoga namtetea kwa nguvu zote kuhusu hili. Si wa kulaumiwa. Wa kuwalaumu ni wale walioamini na kuaminishwa kuwa asiyekula mbuzi katoliki hawezi kuongoza vizuri. Mkawajaza upepo watu kiasi cha kutotoa chance kwa mzee wa msoga kuweka mtu aliyeamini angewafaa. Haya sasa pambaneni a hali yenu hukohuko.
 
Huyajui hata hayo mawazo finyu maana yake nini, huwezi kushindwa kitu kidogo ukaweza kitu kikubwa, ndio maana wameambiwa atleast wawe na elimu ya diploma, serikali kwa hili naiunga mkono asilimia mia moja.

Sorry kama una ka-blogu kako.
Lazima tuwe forward thinkers.
Tupige marufuku magari ati yapo mengi mno barabarani, matrafiki hawatoshi!
Mawazo mufilisi.
 
Nimeshindwa kuwaelewa hawa jamaa wanaposema wanasitisha kutokana na ongezeko la blogs,kwahiyo kumbe waliweka fees ili hivi vyombo vipungue

Sasa wanafikiri wakisitisha leseni ndio watu watasitisha kuingiza blogs & online TVs hewani,tcra akili hawana kabisa hawa watoto

Kwa nini wanashindwa kutumia teknolojia kama vile Artificial Intelligence kuvikagua hivyo vyombo,nchi hii ina wasomi hewa hasa kwenye issue za tech
 
Wale watoa gospel na waimbaji wa injili nayo ni maudhui? Naona giza
 
Nawe ni mpuuzi kama wapuuzi wengine. Unalazimishwa kuangalia hizo blogs? Mlaji anatakiwa kuwa na uhuru.

Mbona wapo wengi hawafurahishwi na magazeti ya propaganda kama uhuru, tanzanite, habari leo au TV kama TBC; hawasomi, na hawaangalii lakini wapo wanaoangalia. Mlaji ni lazima awe na uhuru.
TCRA futilia mbali hizo takataka.

Gazeti la kijinga nitaliacha huko huko kwenye meza zao za magazeti, huo uhuru wa mlaji unaojidai nao kula mpaka uchafu ni upumbavu, halafu dawa za minyoo hammezi.
 
Back
Top Bottom