Tunawapongeza TCRA kwa kuifungia app ya Mange Kimambi, kwa TZ mpaka uwe na VPN ndo unaipata.
Lakini Hilo halitoshi kwani Bado anaendelea kuwachangisha Watanzania kupitia Selcom. Yaan watu wanalipia upumbavu na ikiukwaji wa maadili kwenye app yake.
TCRA tunajua mna uwezo wa kumwambia Selcom afunge account inayopokea malipo kwenye app yake full stop.
Haiwezekani huyu mjinga aendelee kuipotosha jamii yetu kijingajinga.
Tafadhali TCRA nawaomba ombi Hilo mlifanyie kazi..
Lakini Hilo halitoshi kwani Bado anaendelea kuwachangisha Watanzania kupitia Selcom. Yaan watu wanalipia upumbavu na ikiukwaji wa maadili kwenye app yake.
TCRA tunajua mna uwezo wa kumwambia Selcom afunge account inayopokea malipo kwenye app yake full stop.
Haiwezekani huyu mjinga aendelee kuipotosha jamii yetu kijingajinga.
Tafadhali TCRA nawaomba ombi Hilo mlifanyie kazi..