Replica
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,681
- 8,887
Pamoja na agizo la waziri mwenye dhamana ya mawasiliano kuitaka mamlaka ya udhibiti wa mawasiliano nchini(TCRA) kudhibiti gharama za mawasiliano bado wameonekana kugonga mwamba huku kampuni za simu zikiweka pamba masikioni.
Uingereza sehemu kubwa ya gharama ya mawasiliano ni kwa bili na moja ya kampuni kubwa nchini humo ya O2, wadhamini wa zamani wa Arsenal imekutwa na dhahama ya kulipa faini ya bilioni 33 kwa kuwaongezea wateja wake bili pamoja na kuamriwa kurejesha fedha kwa watumiaji husika.
Ofcom ambae ni TCRA wa Uingereza imesema faini hio ni ukumbusho kwamba watatia mguu endapo wataona kampuni inashindwa kuwalinda wateja wake.
Uingereza sehemu kubwa ya gharama ya mawasiliano ni kwa bili na moja ya kampuni kubwa nchini humo ya O2, wadhamini wa zamani wa Arsenal imekutwa na dhahama ya kulipa faini ya bilioni 33 kwa kuwaongezea wateja wake bili pamoja na kuamriwa kurejesha fedha kwa watumiaji husika.
Ofcom ambae ni TCRA wa Uingereza imesema faini hio ni ukumbusho kwamba watatia mguu endapo wataona kampuni inashindwa kuwalinda wateja wake.