Labda wawe wamefuta kwa vile wao ndiyo custodians wa mitandao nchini. Ila Bodi na Menejimenti ya TCRA ilimpongeza Waziri wao wa Zamani Nape Nauye baada ya kutumbuliwa juzi sambamba na TTCL, UCSAF na Posta.
Pongezi kwa kazi nzuri kwa waliotenguliwa ni kama kashfa kwa Mamlaka ya Uteuzi
Aliyefanya kazi nzuri hatenguliwi, ukitenguliwa ujue kuna kitu hakiko sawa.
PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Uteuzi na Utenguzi: Nape, January na Byabato out! Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Labda wawe wamefuta kwa vile wao ndiyo custodians wa mitandao nchini. Ila Bodi na Menejimenti ya TCRA ilimpongeza Waziri wao wa Zamani Nape Nauye baada ya kutumbuliwa juzi sambamba na TTCL, UCSAF na Posta.
Pongezi kwa kazi nzuri kwa waliotenguliwa ni kama kashfa kwa Mamlaka ya Uteuzi
Aliyefanya kazi nzuri hatenguliwi, ukitenguliwa ujue kuna kitu hakiko sawa.
PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Uteuzi na Utenguzi: Nape, January na Byabato out! Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Wewe ni mchocheziLabda wawe wamefuta kwa vile wao ndiyo custodians wa mitandao nchini. Ila Bodi na Menejimenti ya TCRA ilimpongeza Waziri wao wa Zamani Nape Nauye baada ya kutumbuliwa juzi sambamba na TTCL, UCSAF na Posta.
Pongezi kwa kazi nzuri kwa waliotenguliwa ni kama kashfa kwa Mamlaka ya Uteuzi
Aliyefanya kazi nzuri hatenguliwi, ukitenguliwa ujue kuna kitu hakiko sawa.
PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Uteuzi na Utenguzi: Nape, January na Byabato out! Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Wewe ni mchochezi na huna kaziNi udhaifu wa maza
Let's wait Mudaa utasema
Watu wako maofisini ni vilaza tu wala hawajui protocally inavyokwenda wanachojua ni kusifu tu.Labda wawe wamefuta kwa vile wao ndiyo custodians wa mitandao nchini. Ila Bodi na Menejimenti ya TCRA ilimpongeza Waziri wao wa Zamani Nape Nauye baada ya kutumbuliwa juzi sambamba na TTCL, UCSAF na Posta.
Pongezi kwa kazi nzuri kwa waliotenguliwa ni kama kashfa kwa Mamlaka ya Uteuzi
Aliyefanya kazi nzuri hatenguliwi, ukitenguliwa ujue kuna kitu hakiko sawa.
PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Uteuzi na Utenguzi: Nape, January na Byabato out! Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Magufuli alimtumbua Nape na January mama SAMIA kawatudisha kwa upendo tu tena kwenye nafasi nyeti ya uwaziri.Leo unauliza kwamba mama ana visa gani na Nape,mm nadhani ungekuwa na AKILI ungefunga safari ukamuulize Nape ana matatizo gani?ingesaidia zaidi maana ameteuliwa na marais wote wawili ,je Nape yuko peke yake nchi na je ana usomi gani wa ajabu alionao Nape wa kumtishia hata mtu wa kawaida tu zaidi ya mipasho,ukuda,ujinga,upumbavu na utoto usio koma.Umefika wakati Nape na January mkawaulize Wana matatizo gani kiakili.Aisee maza ana visa gani na Nape?
Ukimpost tu unalimwa kichwa dadekii
Nape ana akili kama ya mende. Mende anakula kwenye kabati halafu anaishi kwenye karo la maji machafuMagufuli alimtumbua Nape na January mama SAMIA kawatudisha kwa upendo tu tena kwenye nafasi nyeti ya uwaziri.Leo unauliza kwamba mama ana visa gani na Nape,mm nadhani ungekuwa na AKILI ungefunga safari ukamuulize Nape ana matatizo gani?ingesaidia zaidi maana ameteuliwa na marais wote wawili ,je Nape yuko peke yake nchi na je ana usomi gani wa ajabu alionao Nape wa kumtishia hata mtu wa kawaida tu zaidi ya mipasho,ukuda,ujinga,upumbavu na utoto usio koma.Umefika wakati Nape na January mkawaulize Wana matatizo gani kiakili.
Hivi hii ni kweli? Ningetumbua hadi kuku waoLabda wawe wamefuta kwa vile wao ndiyo custodians wa mitandao nchini. Ila Bodi na Menejimenti ya TCRA ilimpongeza Waziri wao wa Zamani Nape Nauye baada ya kutumbuliwa juzi sambamba na TTCL, UCSAF na Posta.
Pongezi kwa kazi nzuri kwa waliotenguliwa ni kama kashfa kwa Mamlaka ya Uteuzi
Aliyefanya kazi nzuri hatenguliwi, ukitenguliwa ujue kuna kitu hakiko sawa.
PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Uteuzi na Utenguzi: Nape, January na Byabato out! Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Jamani huyu ni kiongozi jaribuni kumlindia heshima yake.Angalia matokeo yake ya necta
View attachment 3050507
Aisee mbona povu mzeebaba, gazeti lote hili kwa ajili gani hasa??Magufuli alimtumbua Nape na January mama SAMIA kawatudisha kwa upendo tu tena kwenye nafasi nyeti ya uwaziri.Leo unauliza kwamba mama ana visa gani na Nape,mm nadhani ungekuwa na AKILI ungefunga safari ukamuulize Nape ana matatizo gani?ingesaidia zaidi maana ameteuliwa na marais wote wawili ,je Nape yuko peke yake nchi na je ana usomi gani wa ajabu alionao Nape wa kumtishia hata mtu wa kawaida tu zaidi ya mipasho,ukuda,ujinga,upumbavu na utoto usio koma.Umefika wakati Nape na January mkawaulize Wana matatizo gani kiakili.
TCRA pale ni pa watu WA suti nyeusi au vipepeo weusi. Hawa awatumbuliwi hivyo.Mbaya zaidi hao maboss wao wametenguliwa Ila maboss wa TCRA bado wameachwa wale Bata inamaana ndio kusema Bibi Chura anawaogopa maboss wa TCRA na PDPC?