Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii kitaalam inaitwa "Swalijibu" sio jibu tenaUnawekaje hela kwenye line ambayo hujakamilisha usajili? Hizo ni laini za kuweka/kupiga na kutoa.
WeeeePiga simu kwenye mtandao husika watakupa majibu
TCRA hawahusiki na pesa za mtu
Wacha weeHizo ni mali ya uma
Tatizo letu Watanzania huwa tunajiunga kwenye huduma nyingi ila huwa hatusomi VIGEZO NA MASHARTI(TERMS AND CONDITIONS) tunascroll down fasta fasta tuna-AGREEPiga simu kwenye mtandao husika watakupa majibu
TCRA hawahusiki na pesa za mtu
Sio Watanzania TU, ni wengi sana!Tatizo letu Watanzania huwa tunajiunga kwenye huduma nyingi ila huwa hatusomi VIGEZO NA MASHARTI(TERMS AND CONDITIONS) tunascroll down fasta fasta tuna-AGREE
laini ambayo haijasajiliwa kwa alama ya kidole huwezi weka hela hikubaliJuzi nimesoma tangazo kuwa TCRA wamezima/wamefunga line laki Tisa (kama sikosei). Najiuliza TU, hizo pesa kwenye hizo line huwa zinapelekaa wapi? Wahusika wanazipateje??
Tuelimishane tafadhali
Duh!laini ambayo haijasajiliwa kwa alama ya kidole huwezi weka hela hikubali
Zimesajiliwa ila hawakua wamezirasimisha, Kuna tofautilaini ambayo haijasajiliwa kwa alama ya kidole huwezi weka hela hikubali
Mkuu Elli ulikuwaga na avatar picha flani kipindi cha nyuma ya picha wa soldier flan nigger kavaa helmet akitoa chozi. Irudishe mkuu.Wacha wee
Kwani watu hakusikia Tangazo kuwa zinafungwa acheni kujifanya mnajua kila kotu au kuwafanya watu ni wajinga sanaJuzi nimesoma tangazo kuwa TCRA wamezima/wamefunga line laki Tisa (kama sikosei). Najiuliza TU, hizo pesa kwenye hizo line huwa zinapelekwa wapi? Wahusika wanazipateje?
Tuelimishane tafadhali
Soma Tena, nimeuliza zinapelekwa wapi sijasema sijaskia, grow!Kwani watu hakusikia Tangazo kuwa zinafungwa acheni kujifanya mnajua kila kotu au kuwafanya watu ni wajinga sana