Tetesi: TCRA Wanaomiliki laini (simkadi) zaidi ya moja katika mtandao mmoja kupokonywa ifikapo June 2020

Unachosema ni kweli wanataka kuleta mianya ya RUSHWA TU, hakuna lolote jipya. Tuliwaeleza kuwa watu wana matumizi mbalimbali na hizo laini, kwa mfano mimi nina laini mbili za Airtel, moja ni purely for my Laptop, haitumiki kwa jambi linguine lolote, ipo fulltime kwenye modem sasa mnataka kuifunga ili IWEJE? Nije kuwaomba omba hapo ofisini ili iweje, wacheni hizo. Laini nyingine ni fulltime kwenye simu. Hii ni hali kwa watumiaji wengi, siyo lazima wote tutumie simu all the time kwa mambo ya mitandao, wengine we enjoy using our PC s and computers kwa mambo ya mtandao via other separate SIM CARDS. TCRA acheni mambo hayo!
 
Hata nagat
Hata magari yanatumika kufanya uhalifu lakini mtu mmoja anamiliki magari 4 au 6 au zaidi kwa nini asibanwe, yote ya nini?.
Suala la uhalifu halianzii kwenye laini nyingi. Mtu anaweza kuwa na laini 10 lakini kama hakuna ushahidi wa yeye kuhusika kwenye uhalifu utamtuhumu vipi?
 
wameweka pamba masikioni; kwanza hata hayo ya kusema ukitaka ya pili ukawaombe, mbona sheria haiko wazi juu ya Hilo?
 
Huna akili
 
Wanahangaika tu ili mkuu wa nchi awaone wanafanya kazi, ubunifu zero
 
Tatizo uvivu wa kufikiri na uvivu wa ubunifu, wanataka watu watumie line za makampuni yao ili mengine yashindwe kujiendesha, mbona kila siku tunatapeliwa lakini hakuna chochote wanachofanya zaidi ya kupiga makele tu!
 
WANATISHIA KUZIMA WALA HAWAZIMI siku zitapita tena watakuja kutishia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…