- Thread starter
- #61
ExactlyJambo sahihi la kufanya ni TCRA kuongeza uwezo wao wa kiteknolojia wa ku mcontrol mtu hata kama ana laini mia moja....
provided kwamba amezisajili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ExactlyJambo sahihi la kufanya ni TCRA kuongeza uwezo wao wa kiteknolojia wa ku mcontrol mtu hata kama ana laini mia moja....
provided kwamba amezisajili
Tena wa kujitakia wenyewe.
Mkuu bora umemwambie wewe, Watu wamekuwa walalamishi mpaka inakera, anyway wengine wanajitetea kwa uhalifu wao waendeleee na Simu ya Mke na Mchepuko kivyake. Kwa wale Wafanyabiashara Rasmi upo utaratibu wa Simu za Kibiashara unapata mpaaka Laini 50 ktk mtandao mmoja. Sasa kama biashara yako hulipi kodi kazi kwako.
Mwanaume unamiliki laini za Simu kila mtandao kwani wewe Dalaliiii! Hizi dalili mbaya
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Hapo kwa hiyo post unajiona booooonge la mjanjaaaa! Kumbe hovyo tu mavi kinuka
Mmi nina sim card mbili moja ni ya biashara ipo kwenye social media na vipepereshi hii naizima ikifika saa kumi na mbili jion pia juma pili na sikukuu siiwashi na line nyingine ndio matumiz yangu binafsi hii sheria ni ya ki whack balaa
Hawa TCRA wamekua wasanii wasanii tu mimi mpaka leo sijasajili na bado nipo hewani kama kawa (hawajafunga) dogo walimfungia line zake baada ya muda akaziweka hewani zinapiga kazi kama kawaida (kuweka vocha kupiga simu na kujibu msg vyote vinafanyika)
kimsingi naweza kusema ni wazee wa kuzua taharuki tu ili wapate kiki hamna kazi wanafanya kama tu wameshidwa kuwathibiti wale wazee wa "ile hela tuma kwenye namba hii" sasa wataweza nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
yaani tutapata tabuNashindwa kuelewa walio tunga hizi sheria walikuwa wamelewa ? Au walidownload file Google's la hizi sheria bila kufanya editing zikapitishwa ili zitumike.
Maana bunge limejaa wasomi na ndo moja ya kazi yao ya kutunga miswada kuwa sheria sasa hii ya laini 1 sijui ilipita vip.
Itafika kipindi kusajili laini unatuma maombi na vyeti juu kama vile tunaomba kazi, maana hii ya vidole hawaiamini
Sent using Jamii Forums mobile app
June 2020 hiyoooo! laini mbili mbili zitaanza kupigwa pinCha msingi hiyo line isihusishwe na matukio ya uhalifu.... Ya Idris Sultan umeyasikia?!.
umeongea kwa hisia Sana! good advice!Mimi nashauri tcra ingejikita kuhakikisha hizi huduma za mawasiliano zinaboreshwa,,huduma ziwe Bei nafuu kwa raia,I wafanye raia kuwa na maisha Bora na wafurahie maisha,,Hilo ndo lengo la kuishi Hapa duniani,
Sio unapata kacheo,unaanza kuleta sheria ngumu ngumu zinazofanya maisha yazidi kuwa complicated.
Hakunaga mtu Hapa duniani ataishi na cheo milele.make life better at least for the sake of your siblings
Wewe boya kabisa kwani wewe ni msemaji wao? Hatuhitaji majibu kutoka kwako wewe ndo mpotishaji usumbufu tupatao kwa TCRA tunaujua sisi wewe kama unatumia simu ya shangazi yako kaa pembeniUnaandika tetesi wakati kanuni ziko wazi tangia mwezi wa 2 tarehe 7! Na usipoteshe eti watapokonywa ila sema utapaswa kuchagua ni lain hipi uitumie na nyingine uziache na pia unaruhusiwa kuwa na lain zaid ya moja ndani ya mtandao mmoja isipokuwa lazima uireport utaitumia kwa matumizi ya modem tu na si vinginevyo.
Huemda mlengwa hajapatikana.Kusema ukweli kwa hili TCRA mnatuchanganya! Inaonesha hamjajipanga!
Usumbufu umekuwa mwingi mno!
TCRA kwa hili sasa sio ungwana kabisa! Naona kama ni usumbufu mnaofanya wala siyo weledi!
- Tulisajili kwa majina mara ya kwanza, mkasema ni batili mkasema zoezi lirudiwe,
- Tukarudia tukasajili kwa vitambulisho vya kura, napo mkasema ni batili
- Mkasema tukamilishe usajili kwa kupiga picha mwaka juzi tukafanya hivyo lakini bado ikawa ni batili;
- Mwaka jana mkadai tusajili kwa vitambulisho vya NIDA kwa alama za vidole, tumefanya hivyo bado mnaona hiyo haitoshi!
- Mnataka mwaka huu wenye laini zaidi ya moja kwenye mtandao mmoja muwazimie simu zao walizozisajili
Kuna majibu mepesi eti; kwa wamiliki wanaohitaji laini zaidi ya moja watatakiwa kusaini fom maaalum;
Swali!
TCRA mtatukosea sana
- Kama electronic data za vidole hamziamini mtu amiliki laini apendavyo, je hizo fomu maalum ndo zitaaminika?
- Hizo fomu zinawafikiaje wananchi huko vijijini?
- Kuna wafanya biashara ambao wana office zaidi ya moja ambazo zinahitaji namba za simu zaidi ya moja hilo hamjalifikilia?