TCRA Wawabambikizia Walalahoi Kodi Ya Nusu Milioni

TCRA Wawabambikizia Walalahoi Kodi Ya Nusu Milioni

Jamani hawa TCRA wenzenu wana mzigo mzito. imeanzishwa NGO moja na watu wajanja ya kuregister .tz domain. mafano [media]www.jina.co.tz[/media]. Sasa katika kuanzisha hiyo NGO, TCRA watalipia kila kitu. kuanzia office, computers mpaka bill ya umeme. Roma recommendations (page 29) hapa [media]www.tcra.go.tz/publications/tzNICReport.pdf[/media] . Lakini hiyo NGO ni yatu wachache tu. sasa kwanini TCRA isiifanye kama department yake?

Pia sasa kuregister domain itakuwa dolla 50. wakati kuregister any .com haizidi dola 15. kwakweli ufisadi ni kila sehemu
 
There is class struggle in Tanzania, but not in the sense envisioned by Issa Shivji. It’s between the ruling class and the masses. As the masses don’t seem to have a good comprehension of what is happening to them, and how to fight for their rights, they need the assistance of men and women of conscience. Men and women who know what is going on, and how to fight it.

It seems that the Tanzania Chamber of Commerce will not stand up and fight for the little men who are trying to make an honest living by selling mobile phones. These retailers cannot afford to hand over half a million shillings to the TCRA every year.

People who steal legally are crooks through and through.
 
Back
Top Bottom