Pre GE2025 TCRA yailima Barua Jambo TV kwa kurusha taarifa za Tundu Lissu na Kabendera kuhusu shutuma kwa Tigo na Vodacom

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Andiko reeefu, halafu halina picha ya barua, huu ni uzushi!
 
trash
 
Hii yote kutumia vyombo mbalimbali ikiwemo TCRA, Ofisi ya Msajili wa Vyama Vya Siasa, Polisi, Watu Wasiojulikana, Makampuni ya Mawasiliano ya Simu n.k listi ni ndefu, ni kukibeba chama kongwe dola kilichochoka, kukosa ushawishi na kushindwa kuendesha nchi

 
hawa nao ni basata wapili yaani mtu akiwaambia ukweli tu nongwa sasa kama mtu ana maushahidi yote kwamba walitoa code mlitaka wananchi wasijue? na mbona hiyo content ya lissu imeenea kwenye mitandao yote? basi kama vipi wafungie wote ikiwemo ile tiivii pendwa ya mzee mengi maana hata wao walirusha kasoro tiibiisiisiiemu tu.
 
Sio kwamba tcra ndio imelimwa barua na mmiliki wa hayo mavocha.

Maana kila mtu anamuonea mnyonge wake.
 
Ccm inalindwa kwa gharama kubwa sana
 
05 Oktoba 2024

DW speaks with Tanzanian opposition leader Tundu Lissu


View: https://m.youtube.com/watch?v=pRU7ldojjXY
In Tanzania, the government has suspended the online operations of a leading newspaper. This, after it released advertising clips featuring the president and referencing recent abductions and killings of dissidents.

The Citizen, one of the most influential English-language papers, said its online publications had been suspended for 30 days by the Tanzania Communications Regulatory Authority.

One of the clips released online earlier this week by The Citizen showed President Samia Suluhu Hassan watching news clips of dissidents and victims of state repression.

Meanwhile, the opposition is accusing the government of cracking down on criticism. One of the leading figures, Tundu Lissu, is suing the government. He says President Samia Suluhu Hassan is returning to the authoritarian practices of John Magufuli.

00:00 Tanzania's government under scrutiny over crackdown
04:12 DW speaks with Tanzanian opposition leader Tundu Lissu
 
ACP Jummane Muliro ajadiliwa ndani ya Citizen TV Kenya, Tanganyika Law Society kongamano lao latajwa kuwa ni hatua kubwa ....

05 October 2024
Wakosoaji wa Serikali za jumuiya ya EAC Waliokamatwa na Kutekwa nyara katika Kanda ya nchi za,Afrika ya Mashariki inaongezeka ikiwemo Tanzania, Uganda na Kenya ...

CITIZEN WEEKEND | Why Kenya, Tanzania and Uganda are turning into one big police state


View: https://m.youtube.com/watch?v=ZiTxLd0wg-8
Shrinking Civic Space In EacGovt Critics Arrested And Abducted In The Eac Region Human Rights And Politicians Under Siege In The Region Leaders In EAC Accused Of Reneging On Their Pledges
 
Duuh! Kesi ya Mjambaji hukumu anapewa mtema mate.
 
Why Jambo tv na kuna online tvs nyinginsana walirusha.
 
sasa mkuu mkutano wa lissu dhidi ya tigo ulikuwa live Jambo online Tv huo muda upande wa pili wapewe nafasi kujitetea ni kwa namna gani kwa mkutano unaokuwa live.?
Barua ya TCRA inasema walirusha kesho yake.
 
Story balancing kwenye kuripoti ni msingi katika uandishi wa habari.

Lakini kama hii ni hotuba kama inavyosemwa inawezekana kweli kufanya balancing? Au hii hotuba haikua live?
 
Kumbe na chat na mhuni!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…