TCRA yapiga marufuku wimbo wa Nay wa Mitego uitwao "Tozo"

TCRA yapiga marufuku wimbo wa Nay wa Mitego uitwao "Tozo"

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
1664009146230.png

Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania TCRA imetoa agizo hilo kwa vyombo vyote vya Utangazaji nchini baada ya kupokea taarifa kutoka Baraza la Sanaa la Taifa BASATA.

Kwa mujibu wa barua ya TCRA imesema baada ya BASATA kuhakiki wimbo huo imebaini kuwa maudhui yake hayafai kutumika katika jamii na yanaweza kuleta matokeo hasi.
 
Nay wa Mitego ni Zitto aliyechangamka. Wote ni vibaraka. Kelele zao hazimzuii tembo kunywa maji. Eti hadi Magufuli alipenda nyimbo zake!
 
View attachment 2366404
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania TCRA imetoa agizo hilo kwa vyombo vyote vya Utangazaji nchini baada ya kupokea taarifa kutoka Baraza la Sanaa la Taifa BASATA.

Kwa mujibu wa barua ya TCRA imesema baada ya BASATA kuhakiki wimbo huo imebaini kuwa maudhui yake hayafai kutumika katika jamii na yanaweza kuleta matokeo hasi.
CCM ni waoga sana ! Yaani hawa bila dola ni wepesi kuliko pamba .
 
View attachment 2366404
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania TCRA imetoa agizo hilo kwa vyombo vyote vya Utangazaji nchini baada ya kupokea taarifa kutoka Baraza la Sanaa la Taifa BASATA.

Kwa mujibu wa barua ya TCRA imesema baada ya BASATA kuhakiki wimbo huo imebaini kuwa maudhui yake hayafai kutumika katika jamii na yanaweza kuleta matokeo hasi.
Mwenye huo wimbo alete hapa tuusikilize kwanza nasisi tuchuje kama unafaa
 
View attachment 2366404
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania TCRA imetoa agizo hilo kwa vyombo vyote vya Utangazaji nchini baada ya kupokea taarifa kutoka Baraza la Sanaa la Taifa BASATA.

Kwa mujibu wa barua ya TCRA imesema baada ya BASATA kuhakiki wimbo huo imebaini kuwa maudhui yake hayafai kutumika katika jamii na yanaweza kuleta matokeo hasi.
Sikujua km Katoa wimbo wa TOZO, ndo nmetoka usikiza U-Tube, wimbo mzuri.

Na waloufungia ndo wanaufanyia promo.


KATIBA mpya ni sasa. Ameeen
 
View attachment 2366404
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania TCRA imetoa agizo hilo kwa vyombo vyote vya Utangazaji nchini baada ya kupokea taarifa kutoka Baraza la Sanaa la Taifa BASATA.

Kwa mujibu wa barua ya TCRA imesema baada ya BASATA kuhakiki wimbo huo imebaini kuwa maudhui yake hayafai kutumika katika jamii na yanaweza kuleta matokeo hasi.
Vijana wa siku vichwa vina kwashiakor. Amekosa kuja na ujumbe wa maana analeta upoyoyo. Wamechoka kuimba mambo ya mapenzi maana hawanaga cha maana
 
Welcome to police state yaani hadi 21st century tunaamuliwa nyimbo za kupigwa kwenye vyombo vya habari!BASATA muelewe hii bucket inaishia mlangoni mwenu, mmeua mziki wetu wa kitanzania, nchi imekua nchi mfu na mmekaa kimya maana mpo mpo tu, hamjiulizi why nchi hii imepoteza muziki na utamaduni wake, tembea kote kwenye sadc, kila nchi unaweza kuitambua kwa mziki wake!eti nchi leo inapiga amapiano!,this is bulshit siwezi kuwa Alex JHB nisikilize amapiano na nije sinza Dsm eti nisikilize amapiano ya tembo!amapiano SIO muziki wetu ule ni mwendelezo wa kwaito ya SA, wapi mwendelezo wa msondo wetu, sikinde yetu, segere matata yetu?,siku nitakapo kuwa president w 24 hrs, BASATA kufikia saa 1000am,tutakua hatuna idara hiyo, it let's my country down big time
 
Back
Top Bottom