Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi nilikuwa siufahamu kabisa. Nilipoona gumzo nikaupakua kabisa. Jamaa kaingiza Sana hela leoWanazidi kumpa KIKI Tu kwasababu Leo huo wimbo umeangaliwa zaidi kwenye YouTube
Watasema una mrengo wa Chadema.Wametupimia kipimo gani kujua haufai?
Kwani huo wimbo unashida gani kama msanii amewakilisha ujumbe wake tena amechuja sana tofauti na wananchi wanavyowasema vibaya watalawa?View attachment 2366404
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania TCRA imetoa agizo hilo kwa vyombo vyote vya Utangazaji nchini baada ya kupokea taarifa kutoka Baraza la Sanaa la Taifa BASATA.
Kwa mujibu wa barua ya TCRA imesema baada ya BASATA kuhakiki wimbo huo imebaini kuwa maudhui yake hayafai kutumika katika jamii na yanaweza kuleta matokeo hasi.
View attachment 2366584
Hii inahusiana nini na wimbo wa tozo..zingatia maudhui.Vijana Kwa wazee wanavyotembea uchi wanawaacha