TCRA yasomesha watatu kwa Sh 2.2 bilioni

Leo hii Mwandosya Mwakyembe wasingekuwa India kwenda Appolo kuchujwa sumu wala Zitto asingekuwa huko kunyofolewa vinyama kwa fedha hiyo hayo yangefanyika hapahapa
aibu aibu aibu ni aibu kwa watanzania wote yaani sijui sisi ni madondocha kimyaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa,tunambiwa kila siku tunavyoibiwa sisi kimyaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa nadhani tutachangamka siku ya kiama
 
Nilipata kumfahamu DG wa TCRA, Prof John Nkoma alipokuwa Botswana, ni miongoni mwa Watanzania makini waliopata kutokea, siamini kama angeweza kuwasomea wafanyakazi watatu kwa Billion 2.2, something is wrong somewhere...
Butola asante kwa hili. Kwa jinsi ulivyomfahamu Prof. John Nkoma akiwa Botswana vivyo hivyo ndivyo alivyo hata hapo TCRA. To be honest mimi siamini hizi tuhuma za kamati ya bunge dhidi ya TCRA kwa sababu nauelewa uadilifu wa baadhi ya watu wa top menejiment ya TCRA.

Ila kwa vile hawa ni binadamu, sometimes you can never know ila naamini something is wrong somewhere.

Ila kwa upande mwingine, huyu Mh. Deo Filikunjombe ni noma, nahisi kama amefanya papara kuzikataa hesabu za TCRA, afadhali Zitto angekuwepo, yuko makini zaidi.

All and all, lets wait and see, the realy truth will eventually come out na roho yangu itatulia.
 
By FARAJA MGWABATI, 3rd November 2011 @ 13:30, Total Comments: 0, Hits: 61

PARLIAMENTARY Public Organisation Accounts Committee (POAC) on Thursday ordered the Treasury to conduct a
special performance audit on Arusha-based horticulture companies who were loaned by the government 50bn/- in 2008 but have defaulted.

The POAC Acting Chairperson, Mr Deo Filikunjombe (Ludewa-CCM), made the directive after it was revealed by the Tanzania Investment Bank (TIB) Managing Director, Mr Peter Noni, that of the 50bn/-, the bank has only managed to collect 10bn/-.

"We want the Registrar of Treasury to carry-out special audit because a lot of things need to be clarified, including the manner in which the
loans were disbursed," said Mr Filikunjombe.

The Ludewa lawmaker said he was worried that TIB might be forced to shoulder some liabilities caused by other bodies, just as it happened with the Tanzania Electric Supply Company (Tanesco) in the Richmond saga.

According to Mr Noni, the funds were disbursed by the Ministry of Finance and Economic Affairs but when the companies defaulted, the ministry requested TIB to oversee and manage the loans on their behalf.

Mr Noni said the companies were loaned the staggering amount to help them expand flower production to be able to compete in the world market.

Some companies that were named by Mr Noni include Arusha Flowers, Tengeru Flowers, Kili Flora, Mount Meru and Tanzania Flowers.

He told the committee that after the 2008 world economic crisis, the horticulture companies were given a grace period of two years to recover but many companies have been reluctant to pay back.

In another development, the MD said they would confiscate the assets of Simon Group Ltd for failure to repay a loan worth 5bn/- which the company borrowed for its Mwanza Mill plant.

"They have failed to honour their pledges. We are going to confiscate their plant which was their collateral," he explained.

POAC also directed TIB to be independent in decision-making to avoid issuing loans to people who cannot honour their pledges.
 
Halafu ccm bado inatafuta sababu eti kwa nin vijana wanaichukia!!yana mwisho hayo.
 
Hili la kusomesha watu watatu????????, naona ni jipya kabisa hata ripoti ya mkaguzi iliyopelekwa bungeni haijasema hili ninawasiwasi kuna kitu hakiko sawa kabisa.
 
haliko sawa kivipi me siwaelewi.nani aliyefanya hii audit,vitabu ndiyo vimeonesha hivyo. mnashangaa nini? mimi sishangai shule au college inaweza ikawa ni miliono lets say 300 mtu anasema biliono 2.2 mjini hapa. Filikunjombe and Team tafadhali komaeni kiukweli hawa watu wamezidi kutuibia bwana,tumechoka sasa ala!
 
labda wamesomeshwa toka nursery na baba zao namama zao na watoto wao na majirani na ndugu wote
 
eti huamini wakati vitabu vya hesabu vimeandikwa hivyo! toka Getrude mongella afanye ufisadi wa kutisha AU najua viongozi wote ni wezi tu. hebu ona mpaka msekwa na yeye kafisadi maliasili zetu sembuse huyo Nkoma sijui wa TZ bana hamtaamini mpaka muibiwe mama zenu na wake zenu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…