Leo hii Mwandosya Mwakyembe wasingekuwa India kwenda Appolo kuchujwa sumu wala Zitto asingekuwa huko kunyofolewa vinyama kwa fedha hiyo hayo yangefanyika hapahapa
aibu aibu aibu ni aibu kwa watanzania wote yaani sijui sisi ni madondocha kimyaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa,tunambiwa kila siku tunavyoibiwa sisi kimyaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa nadhani tutachangamka siku ya kiama
aibu aibu aibu ni aibu kwa watanzania wote yaani sijui sisi ni madondocha kimyaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa,tunambiwa kila siku tunavyoibiwa sisi kimyaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa nadhani tutachangamka siku ya kiama