Tct tcu wana2changanya

Joined
Aug 13, 2012
Posts
16
Reaction score
0
Kuanzia leo asubuhi ilikuwa m2 uki-login unakuta umeandikiwa chuo ulichochaguliwa ,lakin cha kushangaza kuanzia saa 10:00am leo wameondoa tena,Kwa kweli mm cwaelew
 
Hawa cjui wakoje na cjui wana maana gan, embu wa2saidie wanaofaham
 
hilo mi staki jua...washasema nimepangwa sua baaaasi!! mengine watajua wenyewe...ila naiman itakua ni system yao inashida....
 
Jamani mbona wengine profiles zimekuwa marked NOT YET PROCESEDkulikoni?
 
hili hata mimi nimeliona,ila cha msingi wame ni show to Ifm hizi mbwembwe zao watajibeba huko huko.
 
inamaana wakuu hamjui technologia bongo 2po nyuma
 
Sijui wana nini hawa jamaa yaani wanazidi kutuumiza vichwa....wanatoa selection at the same time wanazidelete......
 
Point uliokuwa ukíiandika kwenye mitihani yako LOW LEVEL OF SCIENCE N TECHNOLOGY
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…