Tcu applicants, do this pliz, tushukuru kwa yote!

Msherwa

JF-Expert Member
Joined
Aug 4, 2012
Posts
1,323
Reaction score
1,230
THANK LORD, THANK ALOT, I WILL PRAISE YOU FOREVER

You are Selected To Bachelor of Education in Arts at University of Dodoma

JAPO SIKUIOMBA


LAKINI TWATAKIWA TUSHUKURU KWA YOTE, TUWE NA SHUKRANI, AMINI MUNGU ANA MAKUSUDI KUKUWEKA HAPO ULIPO
 
Inakuwaje upangiwe kozi ambayo hukuiomba? TCU wametoa majina ya watu ambao wamekosa nafasi walizoomba na kuwashauri waombe upya - second round application (kwa masingi kuwa wanaqualify). Kama hili unalolisema kweli linawezekana, sioni mantiki ya kuwataka hao wengine waliokosa waombe upya (huku, wengine kama wewe mkipangiwa kozi ambazo hamkuomba!). Au kuna kitu sijaelewa katika hili?
 

tatizo tanzania na tcu system are same coin with differing faces, hawajagusa machaguo yetu, wametuchukua wanavyotaka wao, acha twende watakavyo, maana hata mitihan walisahihisha wao
 
hiyo ni kwel kabisa wakuu,manake hata mchz wang nae jina lipo kwa wale wa second selection lakini kapata selection ya udom...kunanini hapa??????
 
thank lord, thank alot, i will praise you forever

you are selected to bachelor of education in arts at university of dodoma

japo sikuiomba


lakini twatakiwa tushukuru kwa yote, tuwe na shukrani, amini mungu ana makusudi kukuweka hapo ulipo

big up mkuu.
 
Jamani mimi nina hasira haswaa bora ata ungekuwa huchaguw na ku2mia mda na pesa kuomb bda ya matokeo wngchaguwa 2 wajuavyo wao km walvofnya ku2pa mafacult 2siyoytaka na kuyaomba! Wameniboa!
 
Na mimi nichukue nafasi hii KUMSHUKURU MUNGU MUUMBA WA YOTE KWA KUCHAGULIWA! THANK YOU LORD! SAUT-BUKOBA TUJUZANE WAKUBWA ETI IKO MAENEO GANI
 
kama ndiye Mungu alipanga uje ujikomboe kimaisha kwa course tofauti na hzo ulizoomba, NI NANI ATAZUIA? Si TCU, Bali ni Mungu kapanga jambo kwa ajil yako. FURAHINI KATIKA BWANA SIKU ZOTE, TENA NASEMA FURAHINI.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…