Adolf Hitler Jr
JF-Expert Member
- Sep 13, 2016
- 340
- 263
Jamani Mimi ni form six leaver nliepata BCC Kwa PCM Nikaomba vyuo katika order hii
Civil eng-udsm
Electrical eng-udsm
Pharmacy-mumbl
Ofcoz sikuchaguliwa ila nnachoshangaa ni machali zangu wenye two ambao wameomba kwa mtiririko kama wangu wamepataa ila mm nimekosaaa.....apoo ndipo ninapoilaumu hii taasisi ya udahili wa vyuo vikuu kwamba haitendi hakii.....
Naomben nishaurini kwa huu mtindo mwingine nlioomba ntapataa...??
Telecoms eng-udsm
Comp eng-udsm
Comp eng -Dit
Ahsantenii saanaa wadau ....am stressed....!!!!
hapo nakushauri nenda kabadili vyuo uongeze vingine idad uinaonesha wenghi walioomba UDSM ndio wameambiwa wrudie nd2 round ...think twice dar ipo tu utakuja kufanya kazi c lazma
ussome
huenda matokeo yao ya olevel yamewabebaJamani Mimi ni form six leaver nliepata BCC Kwa PCM Nikaomba vyuo katika order hii
Civil eng-udsm
Electrical eng-udsm
Pharmacy-mumbl
Ofcoz sikuchaguliwa ila nnachoshangaa ni machali zangu wenye two ambao wameomba kwa mtiririko kama wangu wamepataa ila mm nimekosaaa.....apoo ndipo ninapoilaumu hii taasisi ya udahili wa vyuo vikuu kwamba haitendi hakii.....
Naomben nishaurini kwa huu mtindo mwingine nlioomba ntapataa...??
Telecoms eng-udsm
Comp eng-udsm
Comp eng -Dit
Ahsantenii saanaa wadau ....am stressed....!!!!
acha kumtishia mwenzio wewe....unaweza kuja ud kwa zali ukakaza na ukaondoka na upper secondanatafuta kudisco au kupata GPA ndogo
BCC IS 8 NOT TENYour take ni Kweli mfumo wa TCU ulitakiwa uanze na Mwenye cutt off nying from 3 subject mfano wewe una BCC 4+3+3 =10 total sasa apa unakuta mtu ana 7 anapata chuo kama UDSM electriacal afu we na kumi kama cutt off unaanchwa TCU awako fair kabisa ,Am doubt sijui wanaapply FI-FO na LI-FO yaan First in -First out and Last in First out ,
Wewe unazungumzia div ndio 8,lakini mwenzako anazungumzia Cutt of point ambazo ni 10.BCC IS 8 NOT TEN
Wewe unazungumzia div ndio 8,lakini mwenzako anazungumzia Cutt of point ambazo ni 10.
poa mkuu karibu CoETHahaaa thanx kwa courage yakoo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] uyu dogo atakuwa wa BRNBCC IS 8 NOT TEN
Wewe unazungumzia div ndio 8,lakini mwenzako anazungumzia Cutt of point ambazo ni 10.
B=4No, 3+3+2= 8 not ten. Soma vizuri alivyoandika
[emoji23] [emoji23] [emoji23] uyu dogo atakuwa wa BRN
B=4
c=3
c=3
total 10.
Wanavyo hesabu NECTA na TCU tofauti.Jamani B =2
A=1 ukipata A tatu unakuwa na pt 3 which is excellent.
Acha zako na ww na wa dodoma makao makuu waxmjhaha lol! kumbe kukaa Dar napo dili...
Thanks God i was Born and Raised in Dsm , Dar Es Salaam is Tanzania and Tanzania is Dar Es Salaam
Wanavyo hesabu NECTA na TCU tofauti.
NECTA A=1 B=2 C=3 D=4 E=5 S=6
TCU A=5 B=4 C=3 D=2 E=1 S=0.5